CHADEMA hebu jitathminini. Kama mmeshindwa kulinda haki yenu, kaeni kimya, acha CCM wasonge mbele. Kila kona ni malalamiko ya kuenguliwa kwa Wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Unakuta wana CHADEMA mtaa mzima wamekusanyika wanalia kama watoto wadogo eti wameenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa serikali za mitaa/Vijiji. Mbaya zaidi, WANAUME wazima wanalia eti Afisa mtendaji mmoja tu amewaengua CHADEMA karibu wote.
Nimesema mara kadhaa, kama mmeshindwa kaeni kimya, inawezekanaje watu wazima anawaliza mtu mmoja tu, na ninyi bila aibu mnabaki kulia lia eti mmeenguliwa. CHADEMA, huo ni utoto.
Unakuta wana CHADEMA mtaa mzima wamekusanyika wanalia kama watoto wadogo eti wameenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa serikali za mitaa/Vijiji. Mbaya zaidi, WANAUME wazima wanalia eti Afisa mtendaji mmoja tu amewaengua CHADEMA karibu wote.
Nimesema mara kadhaa, kama mmeshindwa kaeni kimya, inawezekanaje watu wazima anawaliza mtu mmoja tu, na ninyi bila aibu mnabaki kulia lia eti mmeenguliwa. CHADEMA, huo ni utoto.