Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Hebu onja hii unambie ladha yake. Tamu?
duh! Nahitaji mlinzi wa kimasai kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu onja hii unambie ladha yake. Tamu?
duh! Nahitaji mlinzi wa kimasai kwakweli.
Mmasai nini bana..tafuta Mmakonde
we mmakonde?
Nangu mene nakukonya.
na wewe umiza au huna jeuri?
x- girlfriend wangu alipata ajali ya bus nikamlipia matitabu kwa miaka 2 akiwa kitandani kila kitu juu yangu hata ndg zake waliaza kumuona mzigo, sikukata tamaa alipo anza kutembea kwa kutumia magongo akaomba akae moshi kwa shangazi yake , baada ya miezi 6 napata taarifa kuwa anaolewa na wakati huo tayari anamimba ya miezi 4 je nimaumivu kiasi gani? niliyo pata