joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kwa upi Oman kuna masharti wameambatanisha katika huo mkopo yanayohusu matumizi na uendeshaji wa bandari kwa miaka ya kwanza hadi mkopo utakaporudi, kama mlivyowakubalia wachina kuendesha SGR yano, sisi hilo sharti tunalikataa, na huenda hiyo pesa Magufuli asiichukue, Tanzania knows what it wantcan you read the article??? coz i cant ......
Nidhani hadi hapo umeona ni kwa jinsi gani Tanzania inavyojiendesha, hata wakati wa kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika, uingereza iliweka masharti, tukawafukuza na ubalozi tukafungaheheee..jirekebishe mwenyewe tu..naona utajikanganya hadi mwisho na hizo links zako mwenyewe..yenye umeipatiana mpaka ulipie
okay wacha nikubaliane na unayosema ubishi uisheKwa upi Oman kuna masharti wameambatanisha katika huo mkopo yanayohusu matumizi na uendeshaji wa bandari kwa miaka ya kwanza hadi mkopo utakaporudi, kama mlivyowakubalia wachina kuendesha SGR yano, sisi hilo sharti tunalikataa, na huenda hiyo pesa Magufuli asiichukue, Tanzania knows what it want
Sasa nipe habari ya kubeba crude oil kwa punda, imefikia wapi?okay wacha nikubaliane na unayosema ubishi uishe
Naomba nipe list ya hivo viwanja vitanoUwezo una ingia sana.. kwa mfano waki wanyang'anya wana tafuta nchi nyingine ambayo ina uwezo tayari e.g SA, Moroc, etc. Issue kwenu siyo Hotels, transportation, wala political will tatizo ni Viwanja tu! Mnasemaga TZ mmetuzidi. Ila Tz haijawah kuomba ku host hivyo vtu kabla ya mwaka juzi. Ila as we speak TZ kuna viwanja vitano vinavyo tambuliwa na CAF na vina host international matches.
Kwahiyo leo kama TFF na serikali wakafanya maombi ku host hyo CHAN wakaguzi wakija watakuja kunywa chai tu!! [emoji1]
In that case Kenya hamna kabisa... mnaviwanja vya kufanya gwaride tu na kiwanja cha Mbuzi. Poleni kwa Kujifedhesha na kujidhalilisha.. mmejambia majivuSawa but tz ni moja pekee yenye standards za CAF...NATIONAL STADIUM PEKEE.
Hivi kwanini wakenya wanapenda sana english? Au wanahis kujua english ni kipimo cha uelewa? So sad..naona unaushabiki tu ili uonyeshe mko perfect sana.....things changes so I dont see any anything wrong with us cancelling a certain project in favour of another one.bagamoyo is the same case so i dont get why you are so worked up when the same shit happens in your own backyard
ni mazingira tuliyokuzwa nayo mkuu..mna tujudge sana but ungekulia huku kwetu pia wewe ungekuwa hivyo..unafunzwa kwa kiingereza masomo yote na hata unatakikana uongee kiingereza ukiwa maeneo ya shule..at the end of the day unajipata tu uko comfortable kucommunicate kwa kiingereza zaidi ya kiswahiliHivi kwanini wakenya wanapenda sana english? Au wanahis kujua english ni kipimo cha uelewa? So sad..
Safi... ssa vtu kma hivi wanataka kufananisha na Uwanja wa mbuzi [emoji1] . wasisahau huo uko Certified na CAF. Kuna mwingine uko PembaHii hapa Amaan stadium Unguja
View attachment 594874
-National StadiumNaomba nipe list ya hivo viwanja vitano
hapo unasema kitu kinaleta maana.sasa kwanini msibadili hio system.huoni kama hio ni part of bondageni mazingira tuliyokuzwa nayo mkuu..mna tujudge sana but ungekulia huku kwetu pia wewe ungekuwa hivyo..unafunzwa kwa kiingereza masomo yote na hata unatakikana uongee kiingereza ukiwa maeneo ya shule..at the end of the day unajipata tu uko comfortable kucommunicate kwa kiingereza zaidi ya kiswahili
Alafu eti wanauita uwanja wa kisasa, tena kwenye media!Safi... ssa vtu kma hivi wanataka kufananisha na Uwanja wa mbuzi [emoji1] . wasisahau huo uko Certified na CAF. Kuna mwingine uko Pemba
Sawa mkuu.sasa kama ccm kirumba imequalify kwanini kenya wameshindwa kuandaa? Hivo unataka sema kenya hawana viwanja vyenye lower standard kama cha ccm kirumba?-National Stadium
-Uhuru stadium
-Azam complex
-CCM Kirumba
-Amaan Stadium
NB: Azam complex ndiyo Chamanzi.Sheikh Amri Abeid, Sokoine, Jamhuri, Ali hassan Mwinyi, Kambarage vikifanyiwa marekebisho vita qualify.
Kwa kua wapo hapa wataku jibu.. ila CAF walivyo wakagua mwezi uliopita waka kuta kiwanja chao kimoja tu ndio kina vigezo.Sawa mkuu.sasa kama ccm kirumba imequalify kwanini kenya wameshindwa kuandaa? Hivo unataka sema kenya hawana viwanja vyenye lower standard kama cha ccm kirumba?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sasa nipe habari ya kubeba crude oil kwa punda, imefikia wapi?
Usicheke, hawa viongozi wakenya wanavyoendesha uchumi wa Kenya, sitoshangaa baada ya miaka mitano ijayo nchi ikatangazwa muflisi, siwaelewi kabisa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haaa haaa baba hafai...!subiri ngoja tu, utasikia wanamlaumu Baba......
Mbona asilaumiwe? He has raised political temperatures to the point that Kenyans have taken their eyes off the economy ,sports and he even wanted schools to delay opening.subiri ngoja tu, utasikia wanamlaumu Baba......
Kenya hawajawahi shindwa kwenye Makaratasi[emoji1] [emoji1] [emoji1]Inakuaga hivi.. ukipeleka maombi yako una identify viwanja utakavyo tumia na maeneo vilipo. Application inakua na details nyingi kma capacity ya hivyo viwanja, accomodation na transportation ya host cities/towns bila kusahau a letter kutoka ministry of sports kuonesha Government support ya bid. Sasa ndugu zangu nyinyi hamjawahi ku fail kwenye makaratasi [emoji1] !! Ndyo maana nchi zinapewa muda mrefu ili kma hawako vizuri wataonekana tu.