Tumedhulumiwa jamani, CHAN 2018 yanyang'anywa Kenya!

Tumedhulumiwa jamani, CHAN 2018 yanyang'anywa Kenya!

can you read the article??? coz i cant ......
Kwa upi Oman kuna masharti wameambatanisha katika huo mkopo yanayohusu matumizi na uendeshaji wa bandari kwa miaka ya kwanza hadi mkopo utakaporudi, kama mlivyowakubalia wachina kuendesha SGR yano, sisi hilo sharti tunalikataa, na huenda hiyo pesa Magufuli asiichukue, Tanzania knows what it want
 
heheee..jirekebishe mwenyewe tu..naona utajikanganya hadi mwisho na hizo links zako mwenyewe..yenye umeipatiana mpaka ulipie
Nidhani hadi hapo umeona ni kwa jinsi gani Tanzania inavyojiendesha, hata wakati wa kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika, uingereza iliweka masharti, tukawafukuza na ubalozi tukafunga
 
Kwa upi Oman kuna masharti wameambatanisha katika huo mkopo yanayohusu matumizi na uendeshaji wa bandari kwa miaka ya kwanza hadi mkopo utakaporudi, kama mlivyowakubalia wachina kuendesha SGR yano, sisi hilo sharti tunalikataa, na huenda hiyo pesa Magufuli asiichukue, Tanzania knows what it want
okay wacha nikubaliane na unayosema ubishi uishe
 
Uwezo una ingia sana.. kwa mfano waki wanyang'anya wana tafuta nchi nyingine ambayo ina uwezo tayari e.g SA, Moroc, etc. Issue kwenu siyo Hotels, transportation, wala political will tatizo ni Viwanja tu! Mnasemaga TZ mmetuzidi. Ila Tz haijawah kuomba ku host hivyo vtu kabla ya mwaka juzi. Ila as we speak TZ kuna viwanja vitano vinavyo tambuliwa na CAF na vina host international matches.

Kwahiyo leo kama TFF na serikali wakafanya maombi ku host hyo CHAN wakaguzi wakija watakuja kunywa chai tu!! [emoji1]
Naomba nipe list ya hivo viwanja vitano
 
Sawa but tz ni moja pekee yenye standards za CAF...NATIONAL STADIUM PEKEE.
In that case Kenya hamna kabisa... mnaviwanja vya kufanya gwaride tu na kiwanja cha Mbuzi. Poleni kwa Kujifedhesha na kujidhalilisha.. mmejambia majivu
 
naona unaushabiki tu ili uonyeshe mko perfect sana.....things changes so I dont see any anything wrong with us cancelling a certain project in favour of another one.bagamoyo is the same case so i dont get why you are so worked up when the same shit happens in your own backyard
Hivi kwanini wakenya wanapenda sana english? Au wanahis kujua english ni kipimo cha uelewa? So sad..
 
Hivi kwanini wakenya wanapenda sana english? Au wanahis kujua english ni kipimo cha uelewa? So sad..
ni mazingira tuliyokuzwa nayo mkuu..mna tujudge sana but ungekulia huku kwetu pia wewe ungekuwa hivyo..unafunzwa kwa kiingereza masomo yote na hata unatakikana uongee kiingereza ukiwa maeneo ya shule..at the end of the day unajipata tu uko comfortable kucommunicate kwa kiingereza zaidi ya kiswahili
 
Naomba nipe list ya hivo viwanja vitano
-National Stadium
-Uhuru stadium
-Azam complex
-CCM Kirumba
-Amaan Stadium
NB: Azam complex ndiyo Chamanzi.Sheikh Amri Abeid, Sokoine, Jamhuri, Ali hassan Mwinyi, Kambarage vikifanyiwa marekebisho vita qualify.
 
ni mazingira tuliyokuzwa nayo mkuu..mna tujudge sana but ungekulia huku kwetu pia wewe ungekuwa hivyo..unafunzwa kwa kiingereza masomo yote na hata unatakikana uongee kiingereza ukiwa maeneo ya shule..at the end of the day unajipata tu uko comfortable kucommunicate kwa kiingereza zaidi ya kiswahili
hapo unasema kitu kinaleta maana.sasa kwanini msibadili hio system.huoni kama hio ni part of bondage
 
Safi... ssa vtu kma hivi wanataka kufananisha na Uwanja wa mbuzi [emoji1] . wasisahau huo uko Certified na CAF. Kuna mwingine uko Pemba
Alafu eti wanauita uwanja wa kisasa, tena kwenye media!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
-National Stadium
-Uhuru stadium
-Azam complex
-CCM Kirumba
-Amaan Stadium
NB: Azam complex ndiyo Chamanzi.Sheikh Amri Abeid, Sokoine, Jamhuri, Ali hassan Mwinyi, Kambarage vikifanyiwa marekebisho vita qualify.
Sawa mkuu.sasa kama ccm kirumba imequalify kwanini kenya wameshindwa kuandaa? Hivo unataka sema kenya hawana viwanja vyenye lower standard kama cha ccm kirumba?
 
Sawa mkuu.sasa kama ccm kirumba imequalify kwanini kenya wameshindwa kuandaa? Hivo unataka sema kenya hawana viwanja vyenye lower standard kama cha ccm kirumba?
Kwa kua wapo hapa wataku jibu.. ila CAF walivyo wakagua mwezi uliopita waka kuta kiwanja chao kimoja tu ndio kina vigezo.
 
subiri ngoja tu, utasikia wanamlaumu Baba......
Mbona asilaumiwe? He has raised political temperatures to the point that Kenyans have taken their eyes off the economy ,sports and he even wanted schools to delay opening.
 
Huwa sipendi malumbano ya Dar-Nairobi... Kwa maana ya kusonga mbele... Kenya wako mbali sana... ila kwenye soka japo wana nyota wengi kimataifa lakini hawana moyo wa soka. Nenda uwanjani wakicheza timu kubwa... ni kama mtibwa vs MajiMaji
 
Inakuaga hivi.. ukipeleka maombi yako una identify viwanja utakavyo tumia na maeneo vilipo. Application inakua na details nyingi kma capacity ya hivyo viwanja, accomodation na transportation ya host cities/towns bila kusahau a letter kutoka ministry of sports kuonesha Government support ya bid. Sasa ndugu zangu nyinyi hamjawahi ku fail kwenye makaratasi [emoji1] !! Ndyo maana nchi zinapewa muda mrefu ili kma hawako vizuri wataonekana tu.
Kenya hawajawahi shindwa kwenye Makaratasi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom