Tumeenda kuwasaidia Rwanda na DRC waliopigwa na Mafuriko?

Tumeenda kuwasaidia Rwanda na DRC waliopigwa na Mafuriko?

DRC,Rwanda si wanashukaga hapo nyarugusu.
 
Tunasaidia Ukraine ili wazungu watuone watupe misaada sisi ombaomba.
DRC wanaweza kutusaidia nini?
 
Wema unaanzia nyumbani. Hapa EA tumekumbwa na majanga huko Rwanda na East DRC. Watu wamepoteza maisha na makazi. Tumepeleka msaada wowote?


Ila daa wakati mwingine unaweza kumkufuru Mungu,mbona kila janga ni letu tu?hakuna wengine huko??sasa kidogo wamepumzika M23, mapolomoko hayo!!!ila kwa DRC ni kawaida sana kwani kuna nyanda za milima mirefu sana,kwa chini ndipo watu wanaishi!!kuna mwaka fulani pale SUD KIVU(UVIRA) watu walifukiwa hadi leo ulienda huwezi jua kama kulikuwa na nyumba hapo!!
 
Tunasaidia Ukraine ili wazungu watuone watupe misaada sisi ombaomba.
DRC wanaweza kutusaidia nini?
DRC tuekuwa tukiwasaidia mara kwa mara kuanzia kupambana na waasi wao ili wakae kwa amani. Tunapitisha mizigo yao katika bandari na barabara zetu with discounted rate. Tunawauzia mahindi, mchele n.k. Tumefungua soko kabisa la mazao pale Lubumbashi.

hata kwenye janga hili tutawapelekea msaada wa kibinadamu.
 
Ila daa wakati mwingine unaweza kumkufuru Mungu,mbona kila janga ni letu tu?hakuna wengine huko??sasa kidogo wamepumzika M23, mapolomoko hayo!!!ila kwa DRC ni kawaida sana kwani kuna nyanda za milima mirefu sana,kwa chini ndipo watu wanaishi!!kuna mwaka fulani pale SUD KIVU(UVIRA) watu walifukiwa hadi leo ulienda huwezi jua kama kulikuwa na nyumba hapo!!
Unakuta wamekata miti yote vilima vimebaki upara hakuna miti ya kushikilia layer ya juu
 
Laaana ya kumuua Lumumba na ndugu zao wengine haiwezi kuwaaacha salama. Damu ni nzito kuliko maji!
Wazee wa Bagamoyo wanajua sana hizo mambo, Acha sie tuendelee na Mwenge wetu wa Uhuru mpaka dakika ya Mwisho pamoja na kelele zoooooote za wale wenye dini zilizokuja na Mashua!
 
Back
Top Bottom