Tumefika mahali kama nchi tunaadhimisha siku ya kondom duniani?

Tumefika mahali kama nchi tunaadhimisha siku ya kondom duniani?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Habari wadau!

Leo maeneo ya Dodoma kwenye round about ya kuingia uwanja wa ndege wa Dodoma, kuna tangazo limewekwa chini kwenye hiyo roundabout likiisomeka: Siku ya kondom duniani(kama sio duniani basi ni siku ya kondom kimataifa).

Swali: ni kondom hii mipira ya kufanyia mapenzi au hiyo kondom ni kitu tofauti?

Kama ni kondom kwa maqna ya condom ya kutukinga na maradhi(HIV), ni sahihi kuadhimisha/kusherehekea siku ya kondom duniani?

Nimeona hilo bango asubuhi ya leo.ila mpaka sasa bado natafakari uhalali wa hili jambo.

Labda niulize, Zanzibar wanaweza kuwa na bango kama hili barabarani?

Kesho tukikuta bango la kuhamasisha ushoga, tutashangaa?

Maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Hilo ni jambo zuri sana kwa ajili ya udhibiti wa population na magonjwa ya ngono.
 
Hebu tuwekee bango tulione,usikute hawa CCM wanabembeleza kupewa hela za Trump ili wazitumie kwenye uchaguzi
 
Habari wadau!

Leo maeneo ya Dodoma kwenye round about ya kuingia uwanja wa ndege wa Dodoma, kuna tangazo limewekwa chini kwenye hiyo roundabout likiisomeka: Siku ya kondom duniani(kama sio duniani basi ni siku ya kondom kimataifa).

Swali: ni kondom hii mipira ya kufanyia mapenzi au hiyo kondom ni kitu tofauti?

Kama ni kondom kwa maqna ya condom ya kutukinga na maradhi(HIV), ni sahihi kuadhimisha/kusherehekea siku ya kondom duniani?

Nimeona hilo bango asubuhi ya leo.ila mpaka sasa bado natafakari uhalali wa hili jambo.

Labda niulize, Zanzibar wanaweza kuwa na bango kama hili barabarani?

Kesho tukikuta bango la kuhamasisha ushoga, tutashangaa?

Maswali ni mengi kuliko majibu.
Kama utakumbuka kipo kizee kimesema kwa kulala kwetu acha natufe kama majani.Yameza kuwa ndio mikakati yetu ya dharura kujikomboa na kiama anachotutakia babu kwa bongolala waafrika.
 
Back
Top Bottom