Tumefikia huku? Inakuwaje wengine tunabaniwa tusione nyuzi za mechi za Utopolo?

Tumefikia huku? Inakuwaje wengine tunabaniwa tusione nyuzi za mechi za Utopolo?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Leo nimeshangaa hadi mechi inaendelea ya Yanga vs Prisons sioni uzi wake. Nikasema labda wamesusia litimu lao. Mara kuna mtu akaanzisha uzi unaohusiana na matokeo ya mechi, nilipoufungua, kumbe mods wameuunganisha, nikapelekwa kwenye uzi rasmi wa mechi ambao kwangu hauonekani.

Nikasema mmmh, hii ni kawaida au tumeanza sera mpya ya kupigana pini wengine tusichangie nyuzi za utopolo, wahudumu wa GSM?

Mpaka sasa uzi wa mechi hii hauonekani katika timeline yangu. Au hii ni dozi mapya ya kina Mzee Mpili inafunika nyuzi wasio mashabiki wa uto hawazioni?

Juzijuzi pia kuna mechi moja ya Yanga nilishangaa sikuona uzi wake hadi karibia na mechi. Niilipoanzisha uzi ndiyo ghafla ukaibuka ingawa aliyeanzisha na mimi tulipishana kama dakika 2 tu. Ila hii ya leo ni kali zaidi maana uzi hauonekani na mechi imeshaisha.
 
Sio bure ww una matatizo.

Kikubwa matokeo ushayapata

Mbumbumbu lini alijua kusoma

we unaumiza kichwa na huyo unaona kabisa ni special case

kunywa bia ulale

Kuna wewe, Cashman na Kipara Kipya always ni trouble maker kwa hiyo hata msipoziona milele ni sawa tu. Fuatilia matokeo inawatosha huwa hamna la maana zaidi ya pumba mnazochangia kila kukisha.
Kwa hiyo mkakaa kikao kabisa mkapanga mpango mikakati wa kuninyima uhondo wa kusoma nyuzi za uto? Aisee, sikutegemea kama tungefika huku....
 
Baada ya uchunguzi wa kina ulioongozwa na TAKUKURU nimegundua sababu ya kutoona uzi ni kuwa aliyeanzisha ni mpuuzi mmoja ambaye kitambo sana nilimpiga tofali.

Kuanzisha uzi is not 4 evrybade.
 
FB_IMG_17348798530782666.jpg
 
Back
Top Bottom