Tumefunga kikao hapa kijiweni, tumeazimia kuwa UKIMWI wa sasa ni tofauti na ule wazamani. Ni wa kawaida

πŸ˜₯ pole wifi, watu wanaona km mzaha huo ugonjwa.!!
Mungu awatie nguvu na amponye mgonjwa..!!
 
kuna jamaa ni rafiki wa jamaa yangu mmoja sasa alikamatwa akakaa kituo cha polisi siku 3 kwa tuhuma za kesi flani ambayo anatuhumiwa kafanyia mkoa mwingine kwahiyo anasubiri kusafirishwa sasa akawa hasemi kama anatumia ARV mi kila nikimsindikiza mwanangu akamcheki rafiki yake naona kama mwamba hayuko sawa ila anasema yuko gud tu

Ilivyofika siku ya 3 mwana alikua amechoka sana yan ye mwenyewe ikabidi tu afichue siri ili aletewe dawa zake la sivyo mambo ingekua noma, ndo nikagundua kumbe umeme ni hatari ukivusha siku mbili tu bila kugonga dozi ni kisanga
 
Jifanyeni mnajua sana hata hizo mbaazi Kuna wakati zinamkataa mtu,.Kuna siku miaka ya nyuma nilitembea na demu nilikuwa simwamini kivile Sasa mpira ukachanika ,asubuhi nikawahi ctc wakanihoji sana theni wakanipa vidonge vya kutumia siku 30 vimeandika sijui truvada (wengine wanasema ndio wanatumia waathirika pia).ila dose ya kwanza wakaniambia Nile hapo hapo mchana,na ingine usiku.basi nilivyokula hyo dose ,huo mchana nilipata usingizi mazito kama nimelewa.kufika job nikalala usiku nkala kile kimoja.kesho kuamka nikaharisha mavi yenye rangi nyekundu kama maharage.yaani mpaka kumaliza vidonge 30 niliyooka,nikasema Sasa acha nitulie mkia utaniua.kama una afya yako tulia kumeza dawa Kila siku ni kazi ngumu,bado hapo haujaugua magonjwa mengine.
 
Kama unavyoona kuna korona mawimbo tofauti, kama wimbi la mwisho Delta which was more deadly. Korona ilipitiq mawimbi ma 4 tofauti. Hivyo ukimwi nao una maambukizi tofauti

Kwa kiswahili fasaha maambukizi mapya ya UKIMWI no deadly. Watu wanaopata maambukizi mapya wanawahi kuchoka

Kitambo unaweza kuwa na HIV usijue na wala hutakuja umwa na ukafa ukiwa hujijui kama una HIv
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!

Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee

Mchana mwema
Ni Wa Kawaida kama hauna, Ila ukisha upata tu unakua sio wa kawaida.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!

Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee

Mchana mwema
Upate kwanza ndio uje utoe shuhuda, ukimwi is not a joke
Back in the day hawakuwa na arv or other support kama sasa

Ww jikanyage utaelewa show
 
Kama alikuwa bikra, Aliambukizwa au alizaliwa nao?
 
Ngoma isikie tu mitandaoni isiwe kwako wala kwa Mwanafamilia wako.
 
Huu ugonjwa asiye ujua vizuri, atakuwa anamengi ya kuropoka,...... UKIMWI ni moto wa kuotea mbali kabisa, kama wewe ni mzima chukua TAHADHARI,...❗❗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…