Tumefungwa lakini maturity level ya wachezaji imeongezeka

Tumefungwa lakini maturity level ya wachezaji imeongezeka

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Timu imeongeza kujiamini na inacheza bila hofu ugenini. Hii ni tofauti na zamani. Pia timu inaonekana kuwa na mipango (with and without balls). Mapungufu ya aerial balls ni janga la dunia nzima lkn Mwl ataangalia namna ya kupunguza madhara yake.

Hawa jamaa kwa Mkapa wataacha pointi zote tatu
 
Timu imeongeza kujiamini na inacheza bila hofu ugenini. Hii ni tofauti na zamani. Pia timu inaonekana kuwa na mipango (with and without balls). Mapungufu ya aerial balls ni janga la dunia nzima lkn Mwl ataangalia namna ya kupunguza madhara yake.

Hawa jamaa kwa Mkapa wataacha pointi zote tatu
Wataachaje wakati nyie hakuna hatari yoyote mliyotengeneza
 
Hahaha Yanga aisee hamuishiwagi vituko. Ehe, kwa hiyo hawa kwa Mkapa hawatoki siyo? Hawa jamaa wangetaka kuwapiga hata 4 leo wangeweza.
Wameshindwa nini sasa, kumbuka pia hawa sio horoya, Usije ukalinganisha timu uliyocheza nayo na hawa jamaa, kiufupi mistake imefanyika na wakajua namna ya kuwadhibiti
 
kwanini hawajiamini litimu limejaza wachezaji wageni tupu, wa huko nje bado hawajiamini sasa wakazi gani?, wanasajiliwa kwa nini.

Simba na yangu wanaaibisha mpira wa tanzania..ni mitimu ya siasa tu maneno meeeengi wakitoka nje hakuna kitu miguuni.

Hovyo kabisa, bora waje akina singida na wengine tuwaone nao kama wataiga tabia za kipuuzi kama za hizi timu mbili😕
 
Tusiilamu timu hapa mwalimu.akafayie kazi eneo la kukaba wachezaji warefu. Yanga amefungwa lakini nawapongeza. Siyo Kama Jana hatuuoni Mpira tunaona pu pu tu Tumefugwa lakini burudiani yetu mmeiona. Mngepangiwa wale Waarabu kungkekuwa na 5+
Hawa wapo mashindano ya waliofeli, walioshindwa kwenye Champions league na kushushwa ndio mmecheza nao halafu waifunge Simba iliyopo kwenye Champions league?
 
Back
Top Bottom