Hata Boco angetusaidiaAngekuwepo BM3 tungeshinda hii mechi. Trust me
Hahah. Mistakes gani hizo zimefanyika? Magoli yale unaita mistakes? Na Horoya anaingiaje hapa?Wameshindwa nini sasa, kumbuka pia hawa sio horoya, Usije ukalinganisha timu uliyocheza nayo na hawa jamaa, kiufupi mistake imefanyika na wakajua namna ya kuwadhibiti
Niambie hata ichi kilichopo mara ya mwisho kushinda kwa mkapa hata mechi ya kirafiki tu ilikuwa mwaka gani?Kwani hiki kikosi ninachozungumza kimekuwepo tangu mwaka ani?
Mmmmmhkwanini hawajiamini litimu limejaza wachezaji wageni tupu, wa huko nje bado hawajiamini sasa wakazi gani?, wanasajiliwa kwa nini. Simba na yangu wanaaibisha mpira wa tanzania..ni mitimu ya siasa tu maneno meeeengi wakitoka nje hakuna kitu miguuni....hovyo kabisa, bora waje akina singida na wengine tuwaone nao kama wataiga tabia za kipuuzi kama za hizi timu mbili😕
Hizo timu zingine zimeshindwa nini kufika huko?kwanini hawajiamini litimu limejaza wachezaji wageni tupu, wa huko nje bado hawajiamini sasa wakazi gani?, wanasajiliwa kwa nini. Simba na yangu wanaaibisha mpira wa tanzania..ni mitimu ya siasa tu maneno meeeengi wakitoka nje hakuna kitu miguuni....hovyo kabisa, bora waje akina singida na wengine tuwaone nao kama wataiga tabia za kipuuzi kama za hizi timu mbili😕
Kwani wale Zalan walifungiwa Sokoine? Au tayari Ngada imeanza kufanya kazi?Niambie hata ichi kilichopo mara ya mwisho kushinda kwa mkapa hata mechi ya kirafiki tu ilikuwa mwaka gani?
Mabeki warefu wa Simba walishindwaje kuzuia header ya jana? Hili tatizo ni kubwa sanaUto ina mabeki wengi andunje.
Si ndo nimesema wameimarika recently? Au huelewi?Niambie hata ichi kilichopo mara ya mwisho kushinda kwa mkapa hata mechi ya kirafiki tu ilikuwa mwaka gani?
Ndo mpigwe mbili?,huo ni uzembe.Mabeki warefu wa Simba walishindwaje kuzuia header ya jana? Hili tatizo ni kubwa sana
subiria kidogo, msimu mmoja tu. timu zenye maneno mengi kuliko mpira zinatolewa muda si mrefu....hovyo kabisa 🙁Hizo timu zingine zimeshindwa nini kufika huko?
Goli la jana beki za Simba hata kuruka hawakuruka.Mabeki warefu wa Simba walishindwaje kuzuia header ya jana? Hili tatizo ni kubwa sana
Kumbuka pia hiyo ni shirikisho. Nyinyi na mliocheza nao hakuna mnachoizidi Horoya.Wameshindwa nini sasa, kumbuka pia hawa sio horoya, Usije ukalinganisha timu uliyocheza nayo na hawa jamaa, kiufupi mistake imefanyika na wakajua namna ya kuwadhibiti
Lkn haijafika tanoNdo mpigwe mbili?,huo ni uzembe.
Marudiano kwa Mkapa mtapigwa tena 3 ukijumlisha na za leo 2 tano tayari😂😅Lkn haijafika tano
Anajifariji kwamba eti Horoya ni mbovu kuliko hao watunis. Wanajiona wamecheza na Al ahly.Hahah. Mistakes gani hizo zimefanyika? Magoli yale unaita mistakes? Na Horoya anaingiaje hapa?