Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Duuuh mkuu kwa heshima na tadhima chutamahizi ndo threads za kufutilia mbali.
Hivi msichana akiomba hela mbona mmefanya kuwa ni ishu kubwa...sio wote wadangaji...wengine wanashida kweli...
Hahaaa vyuma mzee baba wana hali tete mnoWe elfu tano tu mi jana nimemwomba namba tu Leo mikamtumia massage ya morning tu ikawa kosa demu ananiambia anashida na elfu 50 Manina mpaka nikachoka
Inategemea unamuanzaje ... kama unaanza kutongoza kitoto lazima uombwe tu pesa. Lakini ukitongoza kikubwa mnashtukia mmepeana miahadi ya kuonana .. mkiridhika kwamba mnaendana mnazama kwa room mnasaidiana yanaisha au yanaendelezwa.Shida siyo kusaidia, tatizo wanawake wengi (kama sio wote) mnakuwa mna nia mbaya mnapoomba msaada wa kifedha kutoka kwa wanaume waliowatongoza, mwanaume ukisaidia unaonekana fala/zoba/bwege/ATM etc.. (am talking this from experience) Donatila
Mkuu umepita mulemule nilipotaka kupita! SaluteWatu Na okoyoko ni vitu viwili tofauti..
Tonatofautiana mitazamo Na misimamo..
Sio kisha donatila anahonga milioni Na okoyoko ahonge million au buku tano yake.
Usipende kujifananisha Na watu, usipende kuoga ya watu. Tengeneza utambulisho wako. Muache okoyoko aishi kiuhalisia sio kama wengine wanavyoishi.
Any Questions?
upuuzi mtupu, na utakuta ni mtu mzima analeta mada zaki kitaahira.hizi ndo threads za kufutilia mbali.
Hawezi kuwa mtu mzima huyu! taahira kweli kweli.upuuzi mtupu, na utakuta ni mtu mzima analeta mada zaki kitaahira.