Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

Watu Na okoyoko ni vitu viwili tofauti..
Tonatofautiana mitazamo Na misimamo..
Sio kisha donatila anahonga milioni Na okoyoko ahonge million au buku tano yake.
Usipende kujifananisha Na watu, usipende kuoga ya watu. Tengeneza utambulisho wako. Muache okoyoko aishi kiuhalisia sio kama wengine wanavyoishi.
Any Questions?

Daaaah weee mshenzi wewe umetisha mtu wangu

Yani bundle lako unalitumia kwa haki kabisa

Kama unanamba ya m-net nicheck nikutumie ata vocha mtu wangu
 
Daaaah weee mshenzi wewe umetisha mtu wangu

Yani bundle lako unalitumia kwa haki kabisa

Kama unanamba ya m-net nicheck nikutumie ata vocha mtu wangu
Dash Nina voda tu labda utume kwahiyi voda mkuu..
Ahsante kwa Appreciation kiongozi
 
Barca vs psv over 4 odd 2.01
Weka 5000
Shinda 10000
Baki na 5000 uliyoitolea jasho
Mpe 5000 ya Kanjibai

Sometimes nafanyaga hivi
 
Siku utakayokuja kuwa na hela utaona maswala kama hayo kawaida, Wenzako wanatoa mamilioni hata denda hawajawahi pewa na huwasikii wakilia lia.
 
okoyoko mpe tu hiyo 5000 apeleke viatu vyake kwa fundi bhana. Je angekuomba umnunulie viatu vipya!!
 
Siku utakayokuja kuwa na hela utaona maswala kama hayo kawaida, Wenzako wanatoa mamilioni hata denda hawajawahi pewa na huwasikii wakilia lia.


Hayo mamilioni ninayo, ila ulimbukeni wa papuchi ndo sina, kama ni papuchi abaki nayo na mm nibaki na pesa zangu, wadada wanaotoa papuchi za bure wapo. angelita
 
Binti yupi...!??

Acheni masihara.

Si mpenzi... Si mchumba... Hajapiga game...

Atupe hela!?

Mimi kuna mzigo nilikuta nao tukiwa high...tukasemezana tukapeana 1 9t stand. Asubuhi kila mtu akatembea na zake.

Baada ya wiki akaanza kulia njaa.. Nlishangaa sana. Nikamuuliza mbona unaniomba hela!? Akasema eti nimemtomb@ bure. I was like wtff... Nimemtomb@ bure au tumetomb@na.

Nikampotezea. Hadi leo ananidai... Ni mwanamke wa dar.
hahahaha
 
Ninamiliki mamilioni ya shilingi ila kuhonga sitaki..cwez chezea pesa kihivo eti kisa papuchi, no way Donatila
Kwahiyo umeona mwenzio ndo ana papuchi ya mchezo ukamgegede bure tena si ajabu ungeomba na Tigo maana unaiongeleaga
 
Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu
 
Daaaah mkuu buku 5, mpe tuu alikuwa anakutext kila siku na ulikuwa unaenjoy those msgs, hiyo hela ya airtime ilikuwa yake so mpe anunue airtime au hujamiss msgs?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mim na mpenz wangu huwa tunasaidiana na kuonbana vocha
 
Ila mkuu umemkosea Dada wa watu. Elfu 5 utakuta alitaka ya vocha ili muendelee kuchat labda na muda huo alikua sehemu hawez kupata vocha ukamchunia. Mimi ningekupa na block kabisa. Ubahili unacost vijana ndo maana tunaenda kwa wazee wenu
Mkuu siku izi warembo wengi ni MaTP.....

Imagine nilikutana na mdada nkamsalimu kwa heshima nkaomba namba nkapewa kabla sijasave akaniomba 10000 akale....... Nkabonyeza red button tu, si kwamba skua na hiyo ela au simwezi ila alinichosha.

Kuna situaon ya mtu kua kwenye shida awe mchumba, au mtu yoyote anasaidiwa tena si ata mtu aombe ila ni wajibu wetu ila kunastile nyingine za kuchukuliana maboya...
 
Mkuu siku izi warembo wengi ni MaTP.....

Imagine nilikutana na mdada nkamsalimu kwa heshima nkaomba namba nkapewa kabla sijasave akaniomba 10000 akale....... Nkabonyeza red button tu, si kwamba skua na hiyo ela au simwezi ila alinichosha.

Kuna situaon ya mtu kua kwenye shida awe mchumba, au mtu yoyote anasaidiwa tena si ata mtu aombe ila ni wajibu wetu ila kunastile nyingine za kuchukuliana maboya...
MaTP ndo nini mkuu? Huyo Dada ulitakiwa umpe na block. Anakuombaje kisa amekupa Namba sasa. Kama anauza Namba si anasema tu mapema
 
  • Thanks
Reactions: Oxx
Yani elfu 5000 unalilia hapa...watu wanahonga mamilioni...
Huoni aibu!
Mtu hasiye na amani moyoni ni yule anayependa kujilinganisha na watu.

Dont go broke so to be like others. Let nigga okoyoko act his wage.
 
Binti yupi...!??

Acheni masihara.

Si mpenzi... Si mchumba... Hajapiga game...

Atupe hela!?

Mimi kuna mzigo nilikuta nao tukiwa high...tukasemezana tukapeana 1 9t stand. Asubuhi kila mtu akatembea na zake.

Baada ya wiki akaanza kulia njaa.. Nlishangaa sana. Nikamuuliza mbona unaniomba hela!? Akasema eti nimemtomb@ bure. I was like wtff... Nimemtomb@ bure au tumetomb@na.

Nikampotezea. Hadi leo ananidai... Ni mwanamke wa dar.
Mdaiwa sugu [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom