Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Tumekuja shtuka mwenyekiti kila akihojiwa anaelezea jinsi ambavyo amemsaidia Lissu. Kila akihojiwa anaeleza amefanya mangapi kwa Lissu.
Na anaeleza ametoka wapi na Chama. Sera zake kuu ni
1. Kukichangia Chama
2. Kumsaidia Lissu.
Sasa hapa tumeshakubaliana. Kesho akaelezee Sera zake kwa wana CDM na pia wana CCM. Mbowe tunataka awe rais wa JMT anafaa sana. Sisi Ccm tumekubali na tunataka ashinde kwa kishindo.
Na anaeleza ametoka wapi na Chama. Sera zake kuu ni
1. Kukichangia Chama
2. Kumsaidia Lissu.
Sasa hapa tumeshakubaliana. Kesho akaelezee Sera zake kwa wana CDM na pia wana CCM. Mbowe tunataka awe rais wa JMT anafaa sana. Sisi Ccm tumekubali na tunataka ashinde kwa kishindo.