Tumehama kuwaza mambo ya msingi sasa tunawaza upuuzi

Tumehama kuwaza mambo ya msingi sasa tunawaza upuuzi

Ighughuyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2023
Posts
306
Reaction score
666
Tanzania ni hodari kwa propaganda.

Tumetoka juzi kwenye wimbi la maandamano ya wafanyabiashara. Tupo kwenye wimbi la watu kupotea, ghafla tunasikia mgogoro wa Yanga eti magoma ana kesi ya kuondoa uongozi wa Yanga kwa kuwa haupo kihalali.

Hii yote ni kuutoa umma wa Watanzania kwenye mambo ya msingi kwa taifa lao. Sasa tumehama kuwaza mambo ya msingi tupo kuwaza upuuzi. CCM wameitengeneza hiii ili upepo wa kisiasa uhamie kwenye mpira.
 
Ni mwendo wa kufanya Spinning Propaganda kwa lengo la kuwazubaisha watu na kuwatoa kwenye reli ili muda usonge mbele. Hii ndio mbinu na silaha muhimu sana inayotumiwa na Watawala wa Kiimla au Watawala wa Kikomunisti/Ujamaa ili kuwaghiribu Wananchi ili waweze kuwatawala kiurahisi.

Ukisikia 'Utawala wa Ghiriba' ndio huu unaotumia mbinu za namna hii.
 
Ukiwa na msimamo na ukajua unachokitaka huwezi kuyumbishwa au kua diverted kwenye jambo lingine,

Tafakari.
 
Ukiwa na msimamo na ukajua unachokitaka huwezi kuyumbishwa au kua diverted kwenye jambo lingine,

Tafakari.
Ni kweli kabisa.

Mbinu za Utawala wa Ghiriba za namna hiyo Mara nyingi zinatumika na Watawala kwenye nchi ambazo Raia wake wengi zaidi hawajaelimika, Wajinga na mbumbumbu. Na Watu Wasomi au Watu Wenye akili kubwa waliopo kwenye nchi hizo daima huwa wanahesabiwa kuwa ni 'Maadui wakubwa wa Utawala uliopo Madarakani.'
 
Ni kweli kabisa.

Mbinu za Utawala wa Ghiriba za namna hiyo Mara nyingi zinatumika na Watawala kwenye nchi ambazo Raia wake wengi zaidi hawajaelimika, Wajinga na mbumbumbu. Na Watu Wasomi au Watu Wenye akili kubwa waliopo kwenye nchi hizo daima huwa wanahesabiwa kuwa ni 'Maadui wakubwa wa Utawala uliopo Madarakani.'
Kwa mtaji wa Simba na yanga CCM watatawala SANA
 
Kwani, nyie wenye akili kubwa mnashindwaje kutengeneza propaganda kubwa ya kuzima hizi zilizopo.? Nadhani ifikie mahali turudi na tujipange tena.
 
Give them bread and circuses and they will never revolt.” – Juvenal
 
Kwani, nyie wenye akili kubwa mnashindwaje kutengeneza propaganda kubwa ya kuzima hizi zilizopo.? Nadhani ifikie mahali turudi na tujipange tena.
Propaganda huwa zipo kwenye radio na magazeti,, Kwa Sasa ni mitandao ya kijamiii.. vyombo hivi vya awali vya upashaji taarifa Tyr vilishamilikiwa na INNERCICLES au deepers of the state.. na hata wazeee Hawa wanajua wanachokifanya ila ni siri Yao. Huwez zusha jambo kama una followers wachache mtandaoni.. na hata Hawa wenye followers wengi kama comedians na musicians unaona wanapelekwa KOREA hii YOTE ni kuwamiliki wawe chino ya system.. Kwa kweli tz bado SANA
 
Kwani, nyie wenye akili kubwa mnashindwaje kutengeneza propaganda kubwa ya kuzima hizi zilizopo.? Nadhani ifikie mahali turudi na tujipange tena.
Propaganda huwa zipo kwenye radio na magazeti,, Kwa Sasa ni mitandao ya kijamiii.. vyombo hivi vya awali vya upashaji taarifa Tyr vilishamilikiwa na INNERCICLES au deepers of the state.. na hata wazeee Hawa wanajua wanachokifanya ila ni siri Yao. Huwez zusha jambo kama una followers wachache mtandaoni.. na hata Hawa wenye followers wengi kama comedians na musicians unaona wanapelekwa KOREA hii YOTE ni kuwamiliki wawe chino ya system.. Kwa kweli tz bado SANA
 
Kwani, nyie wenye akili kubwa mnashindwaje kutengeneza propaganda kubwa ya kuzima hizi zilizopo.? Nadhani ifikie mahali turudi na tujipange tena.
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini Wanaharakati, Wasomi na/au Watu wenye akili kubwa hapa Tanzania wengi wao wamekuwa wakifa vifo vyenye utata? Umeshawahi kujiuliza swali hili na kulitafutia majibu yake sahihi???

RIP Mch. Dkt. Christopher Mtikila.
RIP Prof. Nicas Mahinda.
RIP Stan Katabaro.
RIP Prof. Juan Mwaikusa.
RIP Dkt. Sengondo Mvungi.
RIP Dkt. Luvigha.
RIP Prof. Chachage.
RIP Horace Kolimba.
 
Back
Top Bottom