Wakae hukohuko kwao, si wanatuita waoga! Siko tayari kupokea wahalifu!1. Yanayoendelea Kenya mmeyasikia/kuyaona kwenye vyombo vya habari. Kimbilio lao Kuu ni Tanzania. Tofauti na Majirani wengine kwao ni Njaa (Ethiopia, Uganda), vita (Somalia, Sudan).
2. Maandamano mapya yametangazwa huko. Na kiukweli naona balaa zito linawasubiri. Tumejipangaje majirani?
Hakuna! Hiyo maneno wachana nayo.Kuna watu wenye nia ovu kwenye mlengo wa kisiasa dhidi ya Raisi Ruto sababu Ruto amejitahidi sana kujishusha kwa kufutilia mbali mswada uliopingwa vikali ,pia amesambaratisha Baraza la mawaziri ambao wamekuwa wakituhumiwa na waandamanaji.Kuna msemaji mmoja alisikika akisema vijana waache mara Moja kauli ya Ruto must go kwani kuna dalili ya ukabila unataka kufanyika hivyo Ruto amalize vipindi vyake vyote viwili.Watanzania tuingie mashambani mwaka huu tulime kwelikweli ili tuwa save jirani zetu katika janga la njaa linalofuata.
TAKE A NOTE AND LESSON!
Atajiju 😳🙄Sawa lakini hiyo j4, wakianza kumtoa Ruto, na Ruto akiamua kuwa mkali, si watakimbilia tarakea na sirari. Lakini labda sijashika simu muda, sijasikia Marais wetu wa east Africa countries wamsadie Ruto, wamemuachia jumba bovu sio
Hakuna mtu atakimbia kutoka hukoWakae hukohuko kwao, si wanatuita waoga! Siko tayari kupokea wahalifu!
Wakenya mnawapenda sana wazungu si wanawake wala wanaume, chungeni sana!, proud of being African!wakenya ni wazungu weusi wakimbilie UK na US.
2007 ulipokea mkimbizi toka Kenya? Wakenya wanajielewa siyo makondoo kama watanzania1. Yanayoendelea Kenya mmeyasikia/kuyaona kwenye vyombo vya habari. Kimbilio lao Kuu ni Tanzania. Tofauti na Majirani wengine kwao ni Njaa (Ethiopia, Uganda), vita (Somalia, Sudan).
2. Maandamano mapya yametangazwa huko. Na kiukweli naona balaa zito linawasubiri. Tumejipangaje majirani?
Lengo lao tangu mwanzo ilikuwa ni kukubaliwa matakwa yaoYale Maandamano hayana nguvu tena ,na kwa sasa yakifanyika ni yanafanyika Nairobi tu sasa hii haina maana tena, Ruto mjanja alisha kata nguvu na Raia wengi wanakubaliana na anacho fanya Ruto kwa sasa. Sisi tuanze na huyu wetu ambaye ameziba masikio
Nyamaza wewe mnafiki. Kwani Kenya wameanza maandamano Leo?. Na tangu wameanza maandamano wamewahi kukimbilia huku?. Baadala uwaze ya nchini kwako unawaza ya Kenya. Kenya walipigana 2007 kuna aliyekimbilia bongo walianzanisha IDP huko huko kwao.1. Yanayoendelea Kenya mmeyasikia/kuyaona kwenye vyombo vya habari. Kimbilio lao Kuu ni Tanzania. Tofauti na Majirani wengine kwao ni Njaa (Ethiopia, Uganda), vita (Somalia, Sudan).
2. Maandamano mapya yametangazwa huko. Na kiukweli naona balaa zito linawasubiri. Tumejipangaje majirani?
Noo hapana. Amani ni Neema kubwa sana Akhy. Amani ikitoweka (Allah aepushie mbali) ni neema kubwa inakuwa imeondoka. Fikiria tu vizuri. Wala usituite mabolizozo. Mshukuru tu Allah kwa neema hii. Hayo mengine ni mitihani kwa sababu ya yale tunayoyachuma. Badala ya kutazama madhambi yetu tunaangalia watawala. Wakati hao watawala ndio reflection yetu sisi wenyewe. Hawatawalishwi madhalimu ila juu ya madhalimu wenzao, mkitaka muondolewe watawala madhalimu acheni dhulma nyinyi kwanza. Mkijifanya vichwa ngumu mnaharibu zaidi.Sisi
Sisi ni MABOLIZOZO hakuna kitu tutafanya zaidi ya uKEYBOARD WARRIOR... ma tukianza tu. Tunagawanywa kwa kauli ya kulinda amani mpaka kwa viongozi wa dini watatumika, hapo tunapungua, vikiokotwa viroba kadhaa vya miili tunapungua tena, kisha tunaletewa skendo DIAMOND ana mimba ya P. Diddy, hapo kwisha habari yetu... 😂🤣
Hii inaitwa East African Spring.....Imeanzia Kenya kama ilivyokuwa Egypt mwaka 2010/11 ikaenea nchi karibu zote za kiarabu kaskazini mwa Africa, ndivyo inavyoenda kutokea hapa Afrika Mashariki. Maumivu ya kichwa huanza taratibu....aidha Safri moja huanzisha nyingine. 😎1. Yanayoendelea Kenya mmeyasikia/kuyaona kwenye vyombo vya habari. Kimbilio lao Kuu ni Tanzania. Tofauti na Majirani wengine kwao ni Njaa (Ethiopia, Uganda), vita (Somalia, Sudan).
2. Maandamano mapya yametangazwa huko. Na kiukweli naona balaa zito linawasubiri. Tumejipangaje majirani?