Tumejiaandaje kupokea wakimbizi toka Kenya?

Wakae hukohuko kwao, si wanatuita waoga! Siko tayari kupokea wahalifu!
 
Hakuna! Hiyo maneno wachana nayo.
 
CHADEMA WANAFURAHIA KWELI MABALAA YA KWA MAJIRANI, WENYE HEKIMA TUNAWEZA KUWAONA WANA CHADEMA NI JAMII ZA AINA GANI.
TAKE A NOTE AND LESSON!
 
Sawa lakini hiyo j4, wakianza kumtoa Ruto, na Ruto akiamua kuwa mkali, si watakimbilia tarakea na sirari. Lakini labda sijashika simu muda, sijasikia Marais wetu wa east Africa countries wamsadie Ruto, wamemuachia jumba bovu sio
Atajiju 😳🙄
 
Wakae hukohuko kwao, si wanatuita waoga! Siko tayari kupokea wahalifu!
Hakuna mtu atakimbia kutoka huko
Ile sio vita !
Yale ni maandamano tu sio vita !
Asiyetaka kuandamana anakaa tu kwake anaangalia Aljazeera ama Citizen TV kwenye runinga yake !
 
2007 ulipokea mkimbizi toka Kenya? Wakenya wanajielewa siyo makondoo kama watanzania
 
Yale Maandamano hayana nguvu tena ,na kwa sasa yakifanyika ni yanafanyika Nairobi tu sasa hii haina maana tena, Ruto mjanja alisha kata nguvu na Raia wengi wanakubaliana na anacho fanya Ruto kwa sasa. Sisi tuanze na huyu wetu ambaye ameziba masikio
Lengo lao tangu mwanzo ilikuwa ni kukubaliwa matakwa yao
 
Nlivyokuwa siwapendi wakenya wakija Tz naweza kuiba mmoja mmoja nawachinja napikia mbwa wangu supu
 
Nyamaza wewe mnafiki. Kwani Kenya wameanza maandamano Leo?. Na tangu wameanza maandamano wamewahi kukimbilia huku?. Baadala uwaze ya nchini kwako unawaza ya Kenya. Kenya walipigana 2007 kuna aliyekimbilia bongo walianzanisha IDP huko huko kwao.

Halafu nikufahamishe wewe chawa wa Samiah, Tanzania ndio Ina wakimbizi Kenya kule kambi ya Dadaab. Ni baada ya machafuko ya Zanzibar.
 
Noo hapana. Amani ni Neema kubwa sana Akhy. Amani ikitoweka (Allah aepushie mbali) ni neema kubwa inakuwa imeondoka. Fikiria tu vizuri. Wala usituite mabolizozo. Mshukuru tu Allah kwa neema hii. Hayo mengine ni mitihani kwa sababu ya yale tunayoyachuma. Badala ya kutazama madhambi yetu tunaangalia watawala. Wakati hao watawala ndio reflection yetu sisi wenyewe. Hawatawalishwi madhalimu ila juu ya madhalimu wenzao, mkitaka muondolewe watawala madhalimu acheni dhulma nyinyi kwanza. Mkijifanya vichwa ngumu mnaharibu zaidi.

Mimi nawaombea tu amani Wakenya.
 
Me nina geto hapa Ngarenairobi nitaoa wakenya 3 ila wote toka pwani Mombasa
 
Waende Somalia,hatuwataki Mademu zao wamekomaa sana.Rwanda wajee wote ikitokea afu baadae iwe mkoa wetu.
 
Arusha na Sirari mjipange. Mbuzi kafia Kwa mpika supu
 
Hii inaitwa East African Spring.....Imeanzia Kenya kama ilivyokuwa Egypt mwaka 2010/11 ikaenea nchi karibu zote za kiarabu kaskazini mwa Africa, ndivyo inavyoenda kutokea hapa Afrika Mashariki. Maumivu ya kichwa huanza taratibu....aidha Safri moja huanzisha nyingine. 😎
 
Maandamano ya nini sasa mbona keshatekeleza madai Yao mengi tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…