Uchaguzi 2020 Tumejiandaaje ikitokea mawasiliano yote yakazimwa?

Uchaguzi 2020 Tumejiandaaje ikitokea mawasiliano yote yakazimwa?

Haitatokea hivyo chama cha kijani kina Wana chama wengi sana vijjn ni tofauti sana na chama pendwa chenye mashabik wengi town nao wengi syo wapiga kura.
 
Haitatokea hivyo chama cha kijani kina Wana chama wengi sana vijjn ni tofauti sana na chama pendwa chenye mashabik wengi town nao wengi syo wapiga kura.
Kama Wana wanachama wengi, kwanini wanatumia wanajeshi na wanafunzi kuongeza idadi ya Kura zao. The truth is that CCM is hated by all and sundry. Wanatumia mabavu
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
 
Habarini wenzangu, kama tuonavyo mambo ndio yanaelekea mwishoni, Tumejiandaaje pale Mawasiliano yakizimwa
yaani JF, Whatsapp, Facebook, Insta, Telegram, Signal, SMS?

Njia gani mbadala itatumika kupashana habari?
Tutarudi kutumia barua kwenye shirika la posta na simu.
Ukiona huwezi peleka kituo cha mabasi umpe kondakta barua
 
Kama Wana wanachama wengi, kwanini wanatumia wanajeshi na wanafunzi kuongeza idadi ya Kura zao. The truth is that CCM is hated by all and sundry. Wanatumia mabavu
Mwanafunzi mwenye miaka 18 anazuiwa kuwa mwana chama wa chama cha siasa?
Mwanafunzi wa form four ni mtu mzima.
 
Haitatokea hivyo chama cha kijani kina Wana chama wengi sana vijjn ni tofauti sana na chama pendwa chenye mashabik wengi town nao wengi syo wapiga kura.
Amna kitu kama icho sasa iv ukituma text yenye jina tundu Lissu aiendi ina fail mngekuwa na hao wanachama msingefika huko huu ni mwisho wa ccm anguko lenu limefika
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
Vijiji gani mnasomba watu mkoa mzima CCM ina mashabiki mashoga tu kama nabii tito
 
Back
Top Bottom