Uchaguzi 2020 Tumejiandaaje ikitokea mawasiliano yote yakazimwa?

Uchaguzi 2020 Tumejiandaaje ikitokea mawasiliano yote yakazimwa?

Root,

Ulichosema kinawezekana kabisa ingawaje The Boss hapo juu amehoji kwanini wazime!!!

Sasa wakati unauliza tutafanyaje, wewe mwanzilisha thread ningekushauri hamasisha watu waanze kutumia VPN!!!

Kwa wasiofahamu VPN, hii ni app ambayo ina-fake location!!

Ilivyo ni kwamba, hata TCRA wakisema wazime social media zote, watakachoweza kufanya ni ku-PIN location ya Tanzania, na kwahiyo ukiwa Tanzania hutaweza kupata FB, Twitter, JF and the like!!

So, unapotumia VPN, hiyo inakupa fursa ya kuficah your true location/IP Address, na badala yake utachagua isome IP Adress ya somewhere else, outside Tanzania!!

Kwa wake wapenda vya dezo, mnaweza kutumia Windscribe ambayo unaweza ku-downloand hapa! Kama ungependa kuwa na Premium VPN, ningeshauri ExpressVPN lakini sio mbaya ukitumia muda kidogo kutafuta coupon!
 
Vijiji gani mnasomba watu mkoa mzima CCM ina mashabiki mashoga tu kama nabii tito
Tunza hii post yako hadi siku matokeo rasmi yanatangazwa. Kuna mgombea hata km akishinda atakua hana wabunge wa kutosha. Sijamtaja mtu jina.
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
Kumbe unajua kabisa kuwa CCM inapendwa na watu ambao hawakupata fursa ya kusoma, na wanatumia huo mwanya kujinufaisha kisiasa
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.

Miaka iliyopita hali ilikuwaje
 
Habarini wenzangu, kama tuonavyo mambo ndio yanaelekea mwishoni, Tumejiandaaje pale Mawasiliano yakizimwa?

Yaani JF, WhatsApp, Facebook, Insta, Telegram, Signal, SMS zikawa inaccessible.

Njia gani mbadala itatumika kupashana habari?
Tutabeba mapanga
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
Unatumia utafiti wa mwaka gani? Au ni hearsay!?


Sent from my SM-G965F using JamiiForums mobile app
 
Mwanafunzi mwenye miaka 18 anazuiwa kuwa mwana chama wa chama cha siasa?
Mwanafunzi wa form four ni mtu mzima.
Labda huko kwenu usweken. Miaka hii fomfoo sana sana wanakua 15 years.
 
Amna kitu kama icho sasa iv ukituma text yenye jina tundu Lissu aiendi ina fail mngekuwa na hao wanachama msingefika huko huu ni mwisho wa ccm anguko lenu limefika
Double S (lissu) haikubali. Single S (Lisu) inaenda. Upuuzi tu.
 
Kama ningekuwa ni mwanachadema ningewashauri muanze kutumia njiwa.
 
Habarini wenzangu, kama tuonavyo mambo ndio yanaelekea mwishoni, Tumejiandaaje pale Mawasiliano yakizimwa?

Yaani JF, WhatsApp, Facebook, Insta, Telegram, Signal, SMS zikawa inaccessible.

Njia gani mbadala itatumika kupashana habari?
Ni wazo zuri. Tutafute mbadala. Balaa hili linakuja 100%.
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
Kwahiyo Kijiji chenye Wapiga kura 3000 waliindikishwa CCM itajizolea kura 20000 eti fistu?
 
Solution ya matatizo yote ya kifisadi ya kisiasa ni kufanya kama Nigeria.Hakuna solution zaidi ya nguvu ya umma.Buhari sasa hivi anaomba maridhiano![emoji847][emoji847][emoji847]
Je....? Upo tayari kuachana na hiyo keyboard na kujitokeza barabarani.
Tujikumbushe ya UKUTA, kila mmoja wetu alikuwa busy kutaka kujua nini kinaendelea.
Bongo ni Bongo, nilisikia mdau akiuliza huyo Mbowe na Mange wako wapi kwanza au wamelala..? Alafu akafyonya mmmmntythiiiiiiiifuuuiiiiiiiiiii......
 
Unajua CCM inapendwa sana vijijini, ambapo kimsingi kuna wapiga kura wengi. Humu mitandaoni ni Chadema of course lakini ndiyo vile tena wapo wachache sana. So there will be no point in such an action to be taken. Absolutely no need.
Tujadili. Tujiandae kivipi iwapo mitandao ya mawasiliano itazimwa? Hilo ndilo swali.
 
Tujadili. Tujiandae kivipi iwapo mitandao ya mawasiliano itazimwa? Hilo ndilo swali.
Tujalidili tukio ambalo halitatokea. We umeenda shule kweli? Haya na wewe umejiandaaje Ziwa Victoria litakapopinduka wiki ijayo?
 
Back
Top Bottom