Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Kama kuna mtu aliandika au kutangaza kuwa RAIS wa JMT amekufa basi huyo ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
 
On the other hand, we see tendency of throwing toys out of the pram.
 
Tusimlaumu sana Kigogo 2014 kwa kutulisha 'tango pori' kama watu wengi wanavyodai bali yeye ndiye amesababisha tupate taarifa rasmi.
Taarifa rasmi ipi hiyo? Nimependa sana jinsi taasisi ilivyo handle issue nzima..hawajampa attention aliyokuwa anaitaka..safi sana
 
Waliokuwa wanahangaika na huo uzushi ndo hao wamerudi tena kivingine. Hizi tathimini zenu za social media ni sawa na wale Motivation speakers,subilini kwenye sanduku la kura mjue kama watz wanampenda Magufuli ama la otherwise ni mbwembwe zenu na hekaya za kila siku
MTU anayeongelea SANDUKU LA KURA kwa TANZANIA basi mtu huyo ni MPUMBAVU.
 
Kuzushiwa kifo si jambo dogo kwa kiongozi wa nchi tena kwa muda wa siku mbili mfululizo wananchi kubaki katika sintofahamu.

Hilo ni moja zaidi yake ni reaction ya watu hasa katika mitandao ya kijamii ambayo ni representative ya wale wasio kuwa nayo mizani kuelekea upande wa wale waliofurahia sana habari hiyo.

Kama Rais akipata wasaa wa kuona mitizamo ya watu kuhusiana na kifo chake, basi tutegemee hasa kuona mabadiliko makubwa katika kauli zake na matendo yake. Kauli za kibabe, kebehi, sipangiwi na mtu, acha kiherehere, Mimi Rais wa wanyonge tutegemee kupungua kwa kiasi kikubwa.

Atakuwa ameona ana kikundi cha watu wachache sana wanaomshangilia na kumpigia makofi kinafiki huku kundi kubwa likiwa linavuja machozi ya damu na hawa ndiyo wanyonge. Kundi hili ndilo lilikuwa linasubiria breaking news ya msiba wa taifa.

Kwa sasa atakuwa anajitafakari sana idadi ya watu isiyomtakia mema hivyo kuangalia approach mpya katika uongozi wake. Huna namna utauona ufalme wa mbingu huku watu ulioukuwa ukiwaongoza wanasherehekea kifo chako.
Tatizo ni pale inapofikiri unamjua Magufuli, wakati yeye mwenyewe hajijui.

Anaropoka kwa mujibu wa upande alioamkia siku hiyo.

Mtu kama hiyo usijipange kumtabiria atasema nini.
 
Kama Lissu Waliompiga Risasi Mpaka Leo Hawajakamatwa Basi Sioni Sababu Ya Sheria Kufanya Kazi Upande Mmoja.

Ata Kwa Lissu Kulikuwa Na Uwezekano Wa Kutokea Vita Kwani Hamkujua Ilo?
Lissu ndiyo nani? Una maanisha lile jamaa lenye sura na domo baya kama la huyu mbwa? Linalo tapa tapa Ubelgiji? Na ambaye hajui nini cha kufanya?
SmartSelect_20191022-022220_Google.jpeg
 
Mr Plight with his young Brother, the conductor think that their Dad shall never ever fade.
I recollect what the late Mwl spoke over Idiotism, "it's better for someone else to become bankrupted than to be without wits ".
The two are without wits, worst rumours rumoured over his fate and civilians became exceedingly glad.
The zero brain holders, are herein to applaud everything,be good or bad.
We shouldn't blame them, for it's their role, without carrying out such a task their children will starve.
The man of God came all the way to the country bear shoes as a sign to capture the pertaining dark powers whose goals were to cause untold harms.
I'm pretty sure, 85% wish him evil things to prevail on.
The day is up, in which the two will be easily trapped like a rat in a glue bait ,and it's gonna be nowhere to run for them.
As we're all blindfolded of our tomorrows, they know theirs.
Wewe ni muhanga wa Vyeti feki, madawa ya kulevya au utumbuzi? Kuadabisha makundi yote hayo ndani ya miaka mitatu ni dhahiri lazima uta attract maadui..Magu kata mirija. Foward ever, backward never!
 
Unataka kusema wewe ume rithi mikoba ya sheikh yahaya

Ova
 
Nadhani linapokuja suala la Musiba na wenzake, hapo ndo unaanza kuhubiri kuwa vyombo vya habari vinapaswa kuwa censored..au freedom of speech na freedom of press ni selective na inahubiriwa pale unapowashwa kumtukana rais tu?? Naamini kuna mipaka ndani ya Freedom of speech ndomaana nimejizuia nisikutukane.
 
Mwaka 2004 nilioeshwa kuwa John Pombe Magufuli atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya Rais Kikwete kumaliza muda wake 2015. Hili nililijua toka wakati huo. Na niliwambia baadhi ya watu kadhaa japo nilijua Magufuli atakuwa na vita kubwa. Mwaka 2011 niliwambia pia watu atakae kuwa Rais ajae ni Magufuli japo watu wengi wa Tanzania walidhani ni Lowasa au Membe. Katika huo mwaka nilifanikiwa kumuona Magufuli umbali wa mita chache japo sikuweza ongea nae alipanda gari akaondoka nilitamani kumwambia yeye ndo atakae kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Japo Rais Magufuli anadhani alipata urais kwa bahati mbaya kwa kujaribu la hasha nataka nimuhakikishie kwamba, alipata urais kwa kuandaliwa na Mungu. Asijilaumu na wala asiseme seme haya maneno kuwa alijaribu. Mungu alishamuandaa. Anachopaswa kujua ni kuwa atakumbana na upinzani mkubwa hicho ni kitu cha kawaida. Watu wote waliokuwa chaguo la Mungu soma Biblia au mtazame Mtume katika uislamu. Wakati wa kampeni 2015 nilikuwa katika moja ya group iliyokuwa ikimsapoti Magufuli wengi waliogopa upepo wa Lowasa, niliwambia Magufuli atashinda tu. Walishangaa!
Sasa niseme na Kumwambia Rais yote mabaya wanayomtabilia, hakuna hata moja litakalo simama au kufanikiwa. Asiwe na wasiwasi Mungu yupo na yeye, na watanzania wema na wazalendo wako nae. Kuumwa ni hali ya kawaida ya binadamu, na kuumwa si kufa. Hakuna mahala Maandiko matakatifu yanasema mtaumwa na kufa. Maandiko yanasema tutakufa tutarudi mavumbini. Hivyo mtu aweza kufa hakiwa haumwi akafa ghafla tu. Rais wetu Mungu kakuandaa na utashinda uchaguzi 2020 usiwe na wasi na utaendelea kuwepo hadi utapo itimisha muda ambao Mungu anapenda utuongoze.
Onyo kwa wanao mtakia Rais mabaya mkizidi sana Mungu atawasambaratisha vibaya. Nakuonya Mhe. Zito, wewe ni mfitini na msaliti wa hii nchi upo kwa maslahi yako. Usidhani unaogopwa na unauwezo wa kusema lolote ukizidi Mungu ataufunga huo mdomo. Hivyo tulia fanya siasa nzuri na kuwa mzalendo. Mheshimiwa Membe wewe unapiga ngoma katika maji pole sana. Wakati wako umepita huna lolote hutokaa kuwa Rais wa hii nchi kamwe. Nimekwambia na utaona. Mungu anakujua na anajua nia yako hovu. Tundu Lissu, wewe unadhani kumsema Rais vibaya na nchi yako utafanikiwa haita tokea kamwe. Unawafanya wazungu miungu yako. Ipo siku watakuchoka na watakuacha kama ulivyo. Mzungu anachoangalia ni maslahi yake akiona hajapata au kapata atakutelekeza. Kwanza wanapenda mtu asiye msaliti wa nchi yake. Kwani hii ufanya wakuheshimu. Hivyo wewe wanakusanifu wanakutumia kupata wanachotafuta. Ila hawatoweza kukipata Tanzania hii inalindwa na Mungu ni nchi ya kipekee na watanzania wanaiombea. Acha hiyo tabia. Utapotea katika ulimwengu wa siasa na utajuta maishani mwako.
Tundu lissu hata akikaa kimya miaka 16 mtamuwekea tu maneno mdomoni uzuri ni kwamba wanaompenda tl Ni wengi mno kuliko mdhanivyo
 
Zalemda acha kutumia ufahamu wako mdogo wengi wa Tanzania wanampenda sana Rais Magufuli kwa moyo wa kweli. Pia Kumbuka kuwaTanzania siyo Rwanda wala Burundi, hii nchi imejengwa kwenye misingi ya haki na utu. Unachokiandika wewe ni ushauri mbaya kwa waziri mwenye dhamana na haufai kuzingatiwa.

Waache wasiojielewa waongee wapasuke kwa uongo na uzushi wao, ndiyo maana nilitubu kwa ajili ya wote wanaojielewa na wasiojielewa kama wewe unayeifananisha Tanzania na nchi ambavyo hatustahili kulinganishwa nayo. Bandiko lako hili ni tusi kwa waasisi wa taifa hili. Waasisi waliotujengea nchi yenye usawa na misingi ya utu na siyo vinginevyo.

Achana na waganga njaa kama Musiba tuiombee nchi yetu, tuwabeze na kuwapuuza wanaochukia maendeleo. Tuwambee viongozi wetu, tuimbee mipango ya taifa letu, tuache uchochozi maana huwezi kuwaziba watu milioni 50 midomo. Watasema watakufurahisha, watasema watakukasirisha, waache waseme, kwa ndimi zao ngumu na laini tunajivunza mengi kutoka kwao.

Mh. Rais tuko pamoja hata muda mfupi kabla ya bandiko hili nimetoka kukuombea tena kwa moyo wa dhati. Nimetoka kuliombea taifa kwangu mimi ndiyo silaha kuu.

Njia nzuri ya kupambana na asiyekupenda siyo kumdhuru bali kufanya kazi zaidi na kupata matokeo chanya ili azidi kukosa hoja ya kukupiga bali aendelee kuumia kwa kazi nzuri unayofanya.

ZALEMDA Tuchape kazi tuache uchochezi hii ni Tanzania siyo Rwanda wala Burundi.
Tarehe 19 na tarehe 20 October 2019 ni siku ambazo wengi wa watanzania hatutakaa tukazisahau maishani mwao.

Tulivunjwa miyoyo,tulikosa matumaini na wengine walitamani kuikimbia nchi aidha kwa kukosa matumaini au kwa kuhofia usalama wao.

Rais anapokuwa amekufa mazingira ya kutatanisha hali hiyo huleta vita ndani ya nchi.Mambo haya yalitokea nchini Rwanda na Burundi ,na nchi nyengine.

Watanzania wengi walikua wanafuatilia ziara ya Rais. Walikuwa wakifurahia sana gafla wanaambiwa na wapinzani eti amekufa tena wapinzani hao wanafurahia kifo hicho.kwa maana nyengine walikuwa wamepanga kifo chicho.

Niseme kuwa Mungu amewatuliza watazania vinginevo yaliyotokea Burundi na Rwanda yangeweza kutokea baada ya kuona watu wanashangilia mabaya juu ya rais.

Wako watu walianzisha au kushangilia mabaya hayo.wanajukikana na wengine wametajwa Leo na Musiba.yako madhara makubwa wamesababisha kutoka na uzushi huo.

Vyombo vya Dora viwasake kote waliko wawekwe ndani mpaka rais atakapotoka madarakani.Hii itakuwa afya kwa taifa letu la Leo na la kesho kwa sababu watu hawa wanavuruga nchi.

Najua wakikamatwa mataifa ya nje yatapiga makelele kama kawaida yao.lakini potelea mbali.kwanza in usalama kwao.

Waziri mwenye dhamana chukua hatua LA sivyo watanzania wengi watawaza mengi juu yako!!
 
Kwa taarifa yako hata katiba ya nchi wanaoijua ni wachache sana wenye uelewa wa mambo, hao wengine wasiojua ni lile kundi linaloswagwa kama ng'ombe wa mnadani.
Na wewe unaye ijua katiba una fanya nini? Ina maana wewe nawe huswagwi kama huyo ng'ombe wa mnadani? Mbona sote tuko kwenye meli moja?

Kwa jinsi unavyo jipa jipa ina onyesha dhahiri kuwa wewe ni masikini mkubwa sana wa akili. Huna unacho kifanya katika maisha yako zaidi ya kuburuzwa na fictive stories za kwenye social Media?

Huna wajibu mwingine wa kulijenga taifa lako? Angalia usije ukapoteza mda wako wa thamani kwa wenzako walio navyo!

Fatima Karume na Maria Sarungu wenzako wazazi wao walikwisha wawekea misingi ya maisha! Mwenzangu vipi nawe upo kwenye kundi hilo?
 
Ndani ya miaka minne kafanikiwa kuwatokomeza mapangoni mafisadi, wauza madawa na kutumbua wazembe, wawekezaji wanyonyaji na vyeti feki! Katika hiyo hali, lazima utavutia maadui wengi ndani na nje ya nchi..Mwl. Nyerere pia pamoja na ku apply 'coercive diplomacy' na ingawa hakukuwa na chama pinzani bado jamaa hawakumpenda na wakataka kumpindua (sio mara moja wa mara mbili)...
Magu piga kazi, forward ever, backward never!
 
Tundu lissu hata akikaa kimya miaka 16 mtamuwekea tu maneno mdomoni uzuri ni kwamba wanaompenda tl Ni wengi mno kuliko mdhanivyo
Fahari ya Lissu ni kuongea! Nahisi akisoma hiyo post yako anaweza kuzimia kwa anxiety. Eti TL akae kimya miaka 16..
 
Back
Top Bottom