#COVID19 Tumejipanga vizuri. Kupitia Corona tutaanza pata Misaada kama Uganda wafanyavyo


Hii si kingine ila itakuwa urithi wa baba kutoka Chatto.


Hayupo mwenye akili zake anayeweza kukushabikia mjomba.

Habari ndiyo hiyo.
 
Wakati anaingia mwendazake deni la taifa lilikuwa around 50 .Mpaka anaondoka lilikuwa around 70.Hii ni alama wazi kuwa mama ndiyo mkopaji wakati mwendazake hakuwahi kukopa.Tuache unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…