Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Kulipwa mishahara baada ya miezi miwili kupita!
Mgao mkali wa umeme!
Maisha kuwa ghali!
Bidhaa kupanda kiwango cha mtu kushindwa kumdu maisha!
Miradi ya Serikali kusuasua na au kusimama kabisa
Hasira za viongozi kuwa juu baada ya mambo kuwa magumu, hatataka kusemwa semwa!
Na kadha wa kadha!
Yajayo yanasikitisha!
Mgao mkali wa umeme!
Maisha kuwa ghali!
Bidhaa kupanda kiwango cha mtu kushindwa kumdu maisha!
Miradi ya Serikali kusuasua na au kusimama kabisa
Hasira za viongozi kuwa juu baada ya mambo kuwa magumu, hatataka kusemwa semwa!
Na kadha wa kadha!
Yajayo yanasikitisha!