Tumekesha tunaangaliana

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Huyu atakuwa mwezi mchanga kwa vyovyote, tumetoka tulikotoka amekunywa wine kidogo mimi nimekula vikali, tumeingia chumbani kakaa kwenye sofa ananiangali tu halafu anaangua kicheko huku kafika macho kwa viganja mimi nipo kitandani tu namwangalia simmalizi, pombe yote imekata nahisi nimedate chizi. Kila nikitaka kusinzia anaangua kicheko nikimwangilia anaficha uso, naogopa hata kumsogelea
 

Ana elements sq jini
 
Unalo hiloooo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Jini hilo. Na umana ya utakuisha leo. Nahavache mtani.
 
mshana jr haraka vaa jeans kama tatu hivi!!Akikuzidi nguvu mpe mafuta KY
 
Last edited by a moderator:
Huyo alilewa sana, kuna watu wakilewa style yao ni kucheka na kuona aibu, ndio maana alikuwa alikuwa anajificha sura.
mshana jr ndugu uliopolea mitaa gani? hahahaaa pole.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…