Tumekesha tunaangaliana

Tumekesha tunaangaliana

Huyo alilewa sana, kuna watu wakilewa style yao ni kucheka na kuona aibu, ndio maana alikuwa alikuwa anajificha sura.
mshana jr ndugu uliopolea mitaa gani? hahahaaa pole.

Bantu Lady huyu ilikuwa ni too much, nilitoka naye msata nilimpa lifti
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la kuzoa zoa matokeo ndio hayo, pole mkuu
 
Huyu atakuwa mwezi mchanga kwa vyovyote, tumetoka tulikotoka amekunywa wine kidogo mimi nimekula vikali, tumeingia chumbani kakaa kwenye sofa ananiangali tu halafu anaangua kicheko huku kafika macho kwa viganja mimi nipo kitandani tu namwangalia simmalizi, pombe yote imekata nahisi nimedate chizi. Kila nikitaka kusinzia anaangua kicheko nikimwangilia anaficha uso, naogopa hata kumsogelea

Naona ww ndio umekua dated hapo.tunasema hv majanga hyo
 
Back
Top Bottom