Nacheka kwa majonziVituko vyetu kwa jinsi tunavyoichukulia Corona vimefika hadi Abuja-Nigeria..videoView attachment 1455556
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Watanzania tunatukanwa kwa kutumainia maombi kuondoa mapepo, juisi ya madagascar, na nyungu/kujifukiza kutibia wakati huo huo hakuna taarifa ya watu waliopona kwa tiba hizo.
Mbona nashindwa kuipakua hiyo videoVituko vyetu kwa jinsi tunavyoichukulia Corona vimefika hadi Abuja-Nigeria..videoView attachment 1455556
Sent using Jamii Forums mobile app
Saiv mmekulaa hela mpakaa ya JUA ndo maana mvua zinanyeshaaa KILA SIKUU mtegemea tuishijeeeMAGUFULI raisi wa Africa nani makini haijawaitokea
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA