Baba_Swalehe
Member
- Dec 10, 2018
- 8
- 9
Man u ni timu inayoongoza kwa mashabiki duniani hiyo imetokana na soka lake mrua lilio kua linapigwa kipini cha 1999's mpaka 2010 man u ilifanikiwa kusomba mashabiki pande zote duniani
Tokaea Sir.Alex kuondoka man u imepata msuko msuko mkubwa ilikabiziwa kwa moyes lakn aliishindwa akapatiwa Van gaal ambaye alifanikiwa kidogo na kutwa FA cup ikapatishwa tena kwa jose mourinho kocha aliyepata mafanikio katka msimu wa kwanza lakn msimu wake wa pili unasua sua sana
TUMEKOSEA WAPI kama wachezaji tunao wakimataifaaa wazuri mno kina sanchez,pogba,lukaku,maticDe gea lakini licha ya kuwa na uwanja mpana wa kikosi lakin bado tynacheza hovyo hapa ndo na baki kujiuliza TUMEKOSEA WAPI?
Tokaea Sir.Alex kuondoka man u imepata msuko msuko mkubwa ilikabiziwa kwa moyes lakn aliishindwa akapatiwa Van gaal ambaye alifanikiwa kidogo na kutwa FA cup ikapatishwa tena kwa jose mourinho kocha aliyepata mafanikio katka msimu wa kwanza lakn msimu wake wa pili unasua sua sana
TUMEKOSEA WAPI kama wachezaji tunao wakimataifaaa wazuri mno kina sanchez,pogba,lukaku,maticDe gea lakini licha ya kuwa na uwanja mpana wa kikosi lakin bado tynacheza hovyo hapa ndo na baki kujiuliza TUMEKOSEA WAPI?