- Thread starter
- #21
Sababu anayotoa hana vibali na baba yake hatakubaliMwambie aje bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu anayotoa hana vibali na baba yake hatakubaliMwambie aje bongo
Aisee be blessed man.Hopefully mtoa mada atajifunza Jambo.
Nipe direction,hivi hii hela inaweza kunifikisha kweli?NENDA [emoji817].
Daah nitakutadanganya Sina uzoefu wa Mambo hayo.ndege yenyewe sijawahi kupanda.Nipe direction,hivi hii hela inaweza kunifikisha kweli?
Sawa mkuuDaah nitakutadanganya Sina uzoefu wa Mambo hayo.ndege yenyewe sijawahi kupanda.
Nenda kwenye makampuni ya ndege utapanda taarifa sahihi
Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep loveNashauri usithubutu kwenda, narudia tena usijipeleke aisee. Mapenzi gani hayo, emu jiulize yaani akupendee wewe wa mtandaoni nakuwa anakutumia pesa bure bure tu!!! huoni pesa & mapz hayo anavitumia kama chambo??? Nafikiri umenielewa...!!!
AiseeKula hela badili line mzee! Akikutafta mwabie uliuziwa simu ya wizi[emoji3] na ukasingiziwa kesi kwahio ulikaa jela miezi 6 bila mawasiliano.
Zingatia kanuni, first date mtoto analiwa kwako!
But to me, still hard to accept it. But judgment & final decision still upon you... But take care!!!Sema mim nimemuamini kwa sababu ni mdogo, pia tunapochat kupitia video call anakuwa free na hata kama nikimwambia nionyeshe sehemu fulani ya mwili ananionyesha,pia ananionyesha mpaka chuo alipo akiwa darasan ,akienda hostel ananionyesha,akienda beach na marafiki mpaka anawapa na sim wananisalimia kwa video,wawapo matembezini mjini,sjui lakini mimi nahisi mtoto yupo serious na Mimi na yupo in deep love