Tumekwenda Marekani kufundishwa kutumia ardhi yetu kwa kilimo au kuiba teknolojia ya kuongeza mnyororo wa thamani kwenye bidhaa zetu!?

Tumekwenda Marekani kufundishwa kutumia ardhi yetu kwa kilimo au kuiba teknolojia ya kuongeza mnyororo wa thamani kwenye bidhaa zetu!?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Wakenya wanaongoza kwa kununua bidhaa za Tanzania, lakini ni bidhaa ambazo hazijaongezwa uthamani, malighafi (raw material) na Kenya wanaongoza kwa kuziongeza uthamani bidhaa hizo na kwenda kuziuza Dubai, Ulaya, Marekani na zinazobaki wanazileta tena kutuuzia Watanzania, nafurahi kuwa tumekwenda kwenye mkutano wa Kilimo nchini Marekani kufanikisha mpango wetu wa kuifanya Tanzania kinara wa uwekezaji na ghala la kilimo hapa Africa kupitia mpango unaofadhiliwa na Marekani unaoitwa Feed the Future,lakini kitu cha muhimu zaidi kama Taifa la Tanzania kwenye kilimo, tunahitaji kuongeza mnyororo wa thamani (value chain creation) ambao ni mtiririko wa shughuli zote zinazofanywa katika uzalishaji hadi kumfikia mlaji wa mwisho, kwa mfano;

✓Uzalishaji.
✓Usafirishaji.
✓Usindikaji.
✓Uhifadhi.
✓Upangaji wa madaraja.
✓kufungasha na,
✓masoko.

-Tunahitaji nini Watanzania kwenye mnyororo wa thamani.

Watanzania tunahitaji utekelezwaji wa mradi wa kuongeza mnyororo wa thamani katika bidhaa na malighafi za Tanzania utanufaisha watu wengi hasa wa kipato cha chini ikiwemo misaada ya kifedha (grants) kwa kuwa Tanzania ndio shamba la malighafi za bidhaa zote zinazopatikana Afrika Mashariki, tukiweza hili la kuongeza mnyororo wa thamani, Tanzania tutachukua nafasi kubwa katika biashara na mauzo, kwenye mnyororo mzima wa thamani kwenye kilimo (agricultural value chain) kitengo Cha kurahisisha mahusiano na mawasiliano kwa washikadau (stakeholders) wote ambao wanaingia kwenye sekta hii ya kilimo na ufugaji, taarifa zote muhimu za mkulima ambaye ni mdau muhimu kwenye uzalishaji wa mnyororo wa thamani, uwezeshwaji kama mkulima atataka kupata mafunzo yoyote kutoka kwa taasisi yoyote, mafunzo hayo yanaweza kua, jinsi ya kulima kisasa ( good agricultural practice) mafunzo ya kifedha (financial education) nk, taarifa zote za kimikataba, ikiwa mkulima au wazalishaji watakua na mkataba na mnunuzi wa malighafi au bidhaa, na mwisho taarifa zote za mbegu na mbolea ambazo mkulima alitumia mwanzoni mwa shughuli yake, pia kurekodi taarifa za mavuno mwishoni wakati wa mavuno, baada ya hapo twende kwenye viwanda tukaongeze uthamani wa malighafi zetu ili ziwe bidhaa adimu, tukatae kuwa wachuuzi wa finished goods zilizotokana na malighafi zetu.

Tunapokwenda Marekani kwenye mikutano wa kilimo kipindi hiki cha Noeli,tusiende kupokea zawadi za krismasi,ni muhimu tunapokwenda kwenye mikutano hiyo ya kilimo,kitu cha kwanza lazima tuwe na vipaumbele vyetu kama matatizo ya kutokuwa na mtaji, naamini USA haitoi pesa kupitia Serikali bali kupitia miradi,lakini pia teknolojia, kama tutashindwa kupata pesa ya msaada kwa ajili ya kilimo na mnyororo wake wa thamani basi mtaji utapatikana kupitia resources tulizokuwa nazo kwa kuzisimamia vizuri, na kwa namna ya pekee mtaji utapatikana kwa kubana matumizi na kuepuka matumizi ya hovyo kama za nje ya nchi zisizo na faida, teknolojia tutaipata kwa kutumia wizi kupitia ushushushu wa watu wetu huko kwenye teknolojia kwa kubadilishana na baadhi ya resources zetu, tuige mfano wa China,tunaweza kuipata teknolojia kwa kutumia watu wetu wa TISS vizuri kupata teknolojia mpya na kwa kuhakikisha watu wanakwenda kusomea vitu vyenye tija na kuja kufundisha wengine nini cha kufanyaTukishazalisha lazima dunia ije kununua maana tayari ina mahitaji ya tulichozalisha, dunia ina mahitaji ya dhahabu zetu, dunia inamahitaji ya gesi yetu,dunia inahitaji makaa yetu ya mawe, dunia inahitaji korosho zetu,dunia inahitaji graphite zetu, dunia inahitaji mahindi yetu, dunia inahitaji mchele wetu, nk nk.. vyote hivi thlivyonavyo lazima hao wanaitwa wawekezaji waje, ni sisi tu kutumia akili,

Nimalizie na China tuionayo leo, Hisense ni moja ya kampuni zinazotengeneza electronics ikiwepo television tena kwa kutumia cheap za kichina na inamilikiwa na Serikali ya China, teknolojia iliyoe delezwa kwa ubunifu wa kichina umepelekea China kuwa na licence ya kutengeneza Samsung, iphone na brand nyingine nyingi ndio maana hata kutengeneza Hisense, Mchina hajapata shida sababu technology ya television ameipata kupitia Samsung, sony nk.

Mchina anajitahidi sana kuingia kwenye soka, teknolojia anayoiendeleza kutoka soka la sasa itamfanya aende kuwekeza sana kwenye soka, kwa jinsi China inavyoweza kuendeleza teknolojia kutoka iliyopo sasa, basi China anaweza kwenda kutengeneza league ya kuvutia kama ilivyo ya Uingereza,fikra hii inaonyesha Mchina halali wala hapoi, Mchina anawaza suala la brands zake kuteka soko la dunia,kwa sasa Mchina anaweka low cost of production ikilinganishwa na nchi nyingine ukiacha india, dunia iliyobaki yote imeamua kwenda China kuoutsource manufacturing kutokana na teknolojia iliyoendelezwa, sijui kama wenye dhamana wananielewa, Umasikini tulionao Watanzania ni wa kujitakia na unatengenezwa na watu kwa manufaa yao na sio kwa manufaa ya taifa la Tanzania.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Hawa TISS mmewafanya kama sababu ya mipango kufeli na kufanikiwa

Yani bila wao ni kama hatuwezi.

Kila ukilala ukiamka ni TISS.

Kila hoja ikiwekwa ni TISS, ni kama hakuna wazalendo na wenye kuleta mafanikio ktk taifa zaidi yao...

Mwisho wa siku una kuja kugundua miongoni mwa watu masikini ni wao pia...

Ingekuwa ukiwa TISS una kuwa milionea na bilionea basi wange kuwa wengi sana... na kazi yenyewe ya uTISS wangeona haina maana tena kwa kuwa wamesha fanikisha lengo lao.

Umesoma International Business... sijui kwann naona kama hukuwahi kupitia Brazil Revolution, achilia mbali mambo ya china.

Tuna peleka maprofesa, watoto wetu, tuna enda wenyewe ktk nchi zilizo endelea kutafuta maarifa na tuna yapata kwa kiasi chake

Je umejiuliza walio fanikiwa wamesha fanya jambo gani?

Wewe ktk utaalamu ulio nao umesha fanya nini kukwamua watu 50 na kuwa na uchumi imara?

Hizi ngozi nyeupe zina peleka watoto kusoma nje na wana kuja na ujuzi kuendeleza biashara zao kwa mafanikio makubwa sana, kwann wewe na mimi tuna shindwa? Je hawa wenye asili ya uhindi, uarab na nchi zingine za ulaya na amerika wao ni TISS?

Kwann TISS TISS TISS? Au kiwango chetu cha kufikiria kipo TISS?? Kwamba Tukitaja TISS ndiio tume maliza???

Kuna kijana Mr. Magila... kasoma hapa hapa tanzania ni Bilionea na katoa ajira kwa wengi sana ktk upqnde wa tech na ana fanya kazi na makampuni makubwa nje na ndani ya afrika, sio tu Tanzania

Wapo wakina Mr Mendez ni bilionea mwingine upande wa tech, ameajiri watu wengi kupitia jitihada zake za mifumo ya gas

Hawa nao TISS?

Mifano ni mingi... tufanye kazi...

Kwanza serikali kupitia TISS haina haja ya kuiba zaidi ya kuingia makubaliano yenye maslahi mapana kwa taifa... ambapo tech itakuja hapa na kunufaisha wengi...
 
Hawa TISS mmewafanya kama sababu ya mipango kufeli na kufanikiwa
Yani bila wao ni kama hatuwezi...
Kila ukilala ukiamka ni TISS...
Kila hoja ikiwekwa ni TISS, ni kama hakuna wazalendo na wenye kuleta mafanikio ktk taifa zaidi yao...
Mwisho wa siku una kuja kugundua miongoni mwa watu masikini ni wao pia...
Ingekuwa ukiwa TISS una kuwa milionea na bilionea basi wange kuwa wengi sana... na kazi yenyewe ya uTISS wangeona haina maana tena kwa kuwa wamesha fanikisha lengo lao....
Umesoma International Business... sijui kwann naona kama hukuwahi kupitia Brazil Revolution, achilia mbali mambo ya china...
Tuna peleka maprofesa, watoto wetu, tuna enda wenyewe ktk nchi zilizo endelea kutafuta maarifa na tuna yapata kwa kiasi chake
Je umejiuliza walio fanikiwa wamesha fanya jambo gani??
Wewe ktk utaalamu ulio nao umesha fanya nini kukwamua watu 50 na kuwa na uchumi imara??
Hizi ngozi nyeupe zina peleka watoto kusoma nje na wana kuja na ujuzi kuendeleza biashara zao kwa mafanikio makubwa sana, kwann wewe na mimi tuna shindwa??? Je hawa wenye asili ya uhindi, uarab na nchi zingine za ulaya na amerika wao ni TISS??
Kwann TISS TISS TISS??? Au kiwango chetu cha kufikiria kipo TISS?? Kwamba Tukitaja TISS ndiio tume maliza???
Kuna kijana Mr. Magila... kasoma hapa hapa tanzania ni Bilionea na katoa ajira kwa wengi sana ktk upqnde wa tech na ana fanya kazi na makampuni makubwa nje na ndani ya afrika, sio tu tanzania
Wapo wakina Mr Mendez ni bilionea mwingine upande wa tech, ameajiri watu wengi kupitia jitihada zake za mifumo ya gas
Hawa nao TISS???
Mifano ni mingi... tufanye kazi...
Kwanza serikali kupitia TISS haina haja ya kuiba zaidi ya kuingia makubaliano yenye maslahi mapana kwa taifa... ambapo tech itakuja hapa na kunufaisha wengi...
Ndugu yangu unafurahi Watanzania wakiendelea kuuza karanga sh mia kijiko kimoja au ungependa kuona Watanzania wakitembelea Private jet kwenda Ulaya na Marekani ukutana na wateja wao!?
 
tz kutumia land bado ila tulio safiri nchi za nje. ndugu nunua ardhi ili kesho ukoo wako kama utawapa elimu ya land basi jina lako litakuja kuwa kama trump,uhuru na matajiri wa land ambao wanaweza kuongoza serikali huko mbele.
mfano kenya
 
Hawa TISS mmewafanya kama sababu ya mipango kufeli na kufanikiwa

Yani bila wao ni kama hatuwezi...

Kila ukilala ukiamka ni TISS...

Kila hoja ikiwekwa ni TISS, ni kama hakuna wazalendo na wenye kuleta mafanikio ktk taifa zaidi yao...

Mwisho wa siku una kuja kugundua miongoni mwa watu masikini ni wao pia...

Ingekuwa ukiwa TISS una kuwa milionea na bilionea basi wange kuwa wengi sana... na kazi yenyewe ya uTISS wangeona haina maana tena kwa kuwa wamesha fanikisha lengo lao....

Umesoma International Business... sijui kwann naona kama hukuwahi kupitia Brazil Revolution, achilia mbali mambo ya china...

Tuna peleka maprofesa, watoto wetu, tuna enda wenyewe ktk nchi zilizo endelea kutafuta maarifa na tuna yapata kwa kiasi chake

Je umejiuliza walio fanikiwa wamesha fanya jambo gani??

Wewe ktk utaalamu ulio nao umesha fanya nini kukwamua watu 50 na kuwa na uchumi imara??

Hizi ngozi nyeupe zina peleka watoto kusoma nje na wana kuja na ujuzi kuendeleza biashara zao kwa mafanikio makubwa sana, kwann wewe na mimi tuna shindwa??? Je hawa wenye asili ya uhindi, uarab na nchi zingine za ulaya na amerika wao ni TISS??

Kwann TISS TISS TISS??? Au kiwango chetu cha kufikiria kipo TISS?? Kwamba Tukitaja TISS ndiio tume maliza???

Kuna kijana Mr. Magila... kasoma hapa hapa tanzania ni Bilionea na katoa ajira kwa wengi sana ktk upqnde wa tech na ana fanya kazi na makampuni makubwa nje na ndani ya afrika, sio tu tanzania

Wapo wakina Mr Mendez ni bilionea mwingine upande wa tech, ameajiri watu wengi kupitia jitihada zake za mifumo ya gas

Hawa nao TISS???

Mifano ni mingi... tufanye kazi...

Kwanza serikali kupitia TISS haina haja ya kuiba zaidi ya kuingia makubaliano yenye maslahi mapana kwa taifa... ambapo tech itakuja hapa na kunufaisha wengi...
Kama si ujasusi wa kiuchumi basi Afrika isingetawaliwa,majasusi kama John Hanning Speke, Sir Richard Burton, David Livingstone na Henry Morton Stanley, walikamilisha uchunguzi wa Afrika mnamo miaka ya 1870. Baada ya hapo, jiografia ya jumla ya Afrika ilijulikana, lakini iliachwa kwa safari zaidi wakati wa miaka ya 1880 na kuendelea, haswa, zile zilizoongozwa na Oskar Lenz kuchunguza kwa undani zaidi kama muundo wa kijiolojia wa bara,baada ya hayo scramble and partition na Afrika tukatawaliwa,Ila wewe hauoni umuhimu wa Ujasusi wa kiuchumi kupitia TISS.
 
Hawa TISS mmewafanya kama sababu ya mipango kufeli na kufanikiwa

Yani bila wao ni kama hatuwezi...

Kila ukilala ukiamka ni TISS...

Kila hoja ikiwekwa ni TISS, ni kama hakuna wazalendo na wenye kuleta mafanikio ktk taifa zaidi yao...

Mwisho wa siku una kuja kugundua miongoni mwa watu masikini ni wao pia...

Ingekuwa ukiwa TISS una kuwa milionea na bilionea basi wange kuwa wengi sana... na kazi yenyewe ya uTISS wangeona haina maana tena kwa kuwa wamesha fanikisha lengo lao....

Umesoma International Business... sijui kwann naona kama hukuwahi kupitia Brazil Revolution, achilia mbali mambo ya china...

Tuna peleka maprofesa, watoto wetu, tuna enda wenyewe ktk nchi zilizo endelea kutafuta maarifa na tuna yapata kwa kiasi chake

Je umejiuliza walio fanikiwa wamesha fanya jambo gani??

Wewe ktk utaalamu ulio nao umesha fanya nini kukwamua watu 50 na kuwa na uchumi imara??

Hizi ngozi nyeupe zina peleka watoto kusoma nje na wana kuja na ujuzi kuendeleza biashara zao kwa mafanikio makubwa sana, kwann wewe na mimi tuna shindwa??? Je hawa wenye asili ya uhindi, uarab na nchi zingine za ulaya na amerika wao ni TISS??

Kwann TISS TISS TISS??? Au kiwango chetu cha kufikiria kipo TISS?? Kwamba Tukitaja TISS ndiio tume maliza???

Kuna kijana Mr. Magila... kasoma hapa hapa tanzania ni Bilionea na katoa ajira kwa wengi sana ktk upqnde wa tech na ana fanya kazi na makampuni makubwa nje na ndani ya afrika, sio tu tanzania

Wapo wakina Mr Mendez ni bilionea mwingine upande wa tech, ameajiri watu wengi kupitia jitihada zake za mifumo ya gas

Hawa nao TISS???

Mifano ni mingi... tufanye kazi...

Kwanza serikali kupitia TISS haina haja ya kuiba zaidi ya kuingia makubaliano yenye maslahi mapana kwa taifa... ambapo tech itakuja hapa na kunufaisha wengi...
Kama si ujasusi wa kiuchumi basi Afrika isingetawaliwa,majasusi kama John Hanning Speke, Sir Richard Burton, David Livingstone na Henry Morton Stanley, walikamilisha uchunguzi wa Afrika mnamo miaka ya 1870. Baada ya hapo, jiografia ya jumla ya Afrika ilijulikana, lakini iliachwa kwa safari zaidi wakati wa miaka ya 1880 na kuendelea, haswa, zile zilizoongozwa na Oskar Lenz kuchunguza kwa undani zaidi kama muundo wa kijiolojia wa bara,baada ya hayo scramble and partition na Afrika tukatawaliwa,Ila wewe hauoni umuhimu wa Ujasusi wa kiuchumi kupitia TISS.
 
Hawa wazungu/wawekezaji waliopo tanzania ktk maeneo mbalimbali

Mfano:
1. West kilimanjaro wana lima
2. Sanya juu huko wana lima maparachichi hawa wa UK
3. Mbinga waisrael na mashamba ya kahawa
4. Iringa na njombe wawekezaji ktk chai na mazao mengine ya miti nk...

Orodha ni ndefu...

Sisi wenyeji wenye maeneo makubwa, wenye ardhi yetu tunq lilia ujasusi wa kiuchumi... ujasusi upi???

Nimekupa mifano ya watu wachache, wawili tu...

1. Kijana mdogo magila chini ya miaka 33 ana fanya makubwa ktk tech...
2. Kijana mwingine Mendez ana fanya makubwa ktk tech ya gas

Serikali una taka ifanye wapi??

Serikali kazi yake ina fanya... na wananchi wana takiwa kufanya kwa ukubwa wake kwa nafasi yao...

Haya sasa serikali ina enda kuanzisha miradi mipya ya scheme za kilimo morogoro mbeya na maeneo mengine... (Na maeneo mengine ktk kilimo)

Wananchi tuna fuga kwelikweli... mifugo ni mingi mpaka tuna gombana wenyewe kwa wenyewe, wakulima na wafugaji... wafugaji hawataki kuelewa wanacho jua mfugo ule ushibe...

Ni kazi ya mwananchi pia kuchukua nafasi sio kila kitu kitafanywa na serikali...

Ndio maana rais amesema kwa sasa ile PPP ndio itaenda kufanya kazi, wewe sekta binafsi fanya kwa pesa zako alafu utarudisha kwa utaratifu fulani kama tozo, viingilio nk... ili pesa zingine ziende ktk miradi au shughuli zingine... pesa ni chache mahitaji ni mengi...

Nyerere alipeleka watu wangapi wakasome? Kilicho kuja kutokea ni viwanda kufa, kubinafsishwa nk...
 
Hawa wazungu/wawekezaji waliopo tanzania ktk maeneo mbalimbali

Mfano:
1. West kilimanjaro wana lima
2. Sanya juu huko wana lima maparachichi hawa wa UK
3. Mbinga waisrael na mashamba ya kahawa
4. Iringa na njombe wawekezaji ktk chai na mazao mengine ya miti nk...

Orodha ni ndefu...

Sisi wenyeji wenye maeneo makubwa, wenye ardhi yetu tunq lilia ujasusi wa kiuchumi... ujasusi upi???

Nimekupa mifano ya watu wachache, wawili tu...

1. Kijana mdogo magila chini ya miaka 33 ana fanya makubwa ktk tech...
2. Kijana mwingine Mendez ana fanya makubwa ktk tech ya gas

Serikali una taka ifanye wapi??

Serikali kazi yake ina fanya... na wananchi wana takiwa kufanya kwa ukubwa wake kwa nafasi yao...

Haya sasa serikali ina enda kuanzisha miradi mipya ya scheme za kilimo morogoro mbeya na maeneo mengine... (Na maeneo mengine ktk kilimo)

Wananchi tuna fuga kwelikweli... mifugo ni mingi mpaka tuna gombana wenyewe kwa wenyewe, wakulima na wafugaji... wafugaji hawataki kuelewa wanacho jua mfugo ule ushibe...

Ni kazi ya mwananchi pia kuchukua nafasi sio kila kitu kitafanywa na serikali...

Ndio maana rais amesema kwa sasa ile PPP ndio itaenda kufanya kazi, wewe sekta binafsi fanya kwa pesa zako alafu utarudisha kwa utaratifu fulani kama tozo, viingilio nk... ili pesa zingine ziende ktk miradi au shughuli zingine... pesa ni chache mahitaji ni mengi...

Nyerere alipeleka watu wangapi wakasome? Kilicho kuja kutokea ni viwanda kufa, kubinafsishwa nk...

umeongea ugoro sana. Unafahamu neno mkulima au farmer labda kwa kingereza. ogopa sana ukajitambulisha ulaya kuwa wazazi wako ni farmer wanakuogopa kumbe ni peasant tu wa jembe la mkono.

mkulima ni jicho la serikali kwa kila kitu na hata ulindwa na serikali sababu yeye ndio analisha taifa.

ao wakulima uliowataja si wanakunyang'anya ndege ukiwazingua au umejitoa akili.

serikali ya tz ijali mkulima na kupitia chama hiki cha ccm kimemuweka kama mtaji wa kisiasa na kupiga kura.

vitu vingapi serikali inafanya kama ni anasa na maushuru yasio na sababu.

serikali ilishawai kuomba soko au ije kumleta mwarabu aje kulima maembe ambaye yeye kasimamiwa na serikali yake.

ccm ni chama cha wajinga
 
Hawa wazungu/wawekezaji waliopo tanzania ktk maeneo mbalimbali

Mfano:
1. West kilimanjaro wana lima
2. Sanya juu huko wana lima maparachichi hawa wa UK
3. Mbinga waisrael na mashamba ya kahawa
4. Iringa na njombe wawekezaji ktk chai na mazao mengine ya miti nk...

Orodha ni ndefu...

Sisi wenyeji wenye maeneo makubwa, wenye ardhi yetu tunq lilia ujasusi wa kiuchumi... ujasusi upi???

Nimekupa mifano ya watu wachache, wawili tu...

1. Kijana mdogo magila chini ya miaka 33 ana fanya makubwa ktk tech...
2. Kijana mwingine Mendez ana fanya makubwa ktk tech ya gas

Serikali una taka ifanye wapi??

Serikali kazi yake ina fanya... na wananchi wana takiwa kufanya kwa ukubwa wake kwa nafasi yao...

Haya sasa serikali ina enda kuanzisha miradi mipya ya scheme za kilimo morogoro mbeya na maeneo mengine... (Na maeneo mengine ktk kilimo)

Wananchi tuna fuga kwelikweli... mifugo ni mingi mpaka tuna gombana wenyewe kwa wenyewe, wakulima na wafugaji... wafugaji hawataki kuelewa wanacho jua mfugo ule ushibe...

Ni kazi ya mwananchi pia kuchukua nafasi sio kila kitu kitafanywa na serikali...

Ndio maana rais amesema kwa sasa ile PPP ndio itaenda kufanya kazi, wewe sekta binafsi fanya kwa pesa zako alafu utarudisha kwa utaratifu fulani kama tozo, viingilio nk... ili pesa zingine ziende ktk miradi au shughuli zingine... pesa ni chache mahitaji ni mengi...

Nyerere alipeleka watu wangapi wakasome? Kilicho kuja kutokea ni viwanda kufa, kubinafsishwa nk...
Kwa miaka ya karibuni CIA limebadili mitazamo juu ya Ujasusi duniani ambao kwa Afrika na baadhi ya maeneo Mashariki ya Mbali (nchi za kijamaa) inatazamwa kama ujasusi ni shuguli ya kificho sana na lanatulah kumsikia mtu akiyaelezea mambo haya anuwai kinagaubaga.

Katika kuonyesha ulimwemgu mpya na wa Kisasa wa Ujasusi, Shirika la Ujasusi la CIA 2018 lilianzisha kipindi maalumu kwa kuwakutanisha wakurugenzi wastaafu wa shirika hilo mbele ya runinga za umma huku wananchi wakishuhudia na kujadili mambo kadhaa yanayo athiri ulimwengu wa leo na kesho. Miaka mitano nyuma, siku kama ya leo katika moja ya mjadala jopo (panel) walikutanishwa wakurugenzi wastaafu wa CIA ambao ni Bwana Brennan, Hayden, Goss na Webster

Mjadala ulihusu ulinzi wa kimtandao na changamoto zake, ni namna gani USA inaweza kuukabili ujasusi wa kimtandao dhidi ya mataifa ya mashariki ya mbali na changamoto za ujasusi wa kiuchumi. Ukiusikiliza mdahalo huu kinadharia tuli bila kuingiza siasa za kijinga na uzalendo wa kichama, utaona kwamba kila mwanamdahalo akiongea jambo basi ni wazi wenzetu adui wanayepigana nae wanamjua. Mjadala uliongozwa na Jasusi wa kimtandao ndugu Sue Gordon kutoka kitengo cha ujasusi wa mtandaoni cha CCHS.

Mapinduzi mapya katika nyanja ya ujasusi Dunia yanakwenda kwa kasi, Dunia inazunguka vizuri, inatupeleka ulimwengu hata tusioutaraji... Jukumu letu ni kuhakikisha dunia haituachi katika mzunguko wake. Tutaamua wenyewe twende kushoto au kulia. Mwenye kushinda atatupata!
 
Tunataka taasisi ya kijasusi tanzania ibadili mtazomo.
 
Nyuzi kama hizi hazina wachangiaji wengi.....nyuzi za mbususu 🤣🤣🤣😂😂😂😂 wachangiaji 1k
 
Back
Top Bottom