Tumemaliza mechi za pwagu na pwaguzi tunawakaribisha kwenye mechi za mabingwa wa nchi zao hapo kesho

Tumemaliza mechi za pwagu na pwaguzi tunawakaribisha kwenye mechi za mabingwa wa nchi zao hapo kesho

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Leo tumemaliza kuangalia pira la pipa na mfuniko pale kwa mkapa Sasa tunawakaribisha kesho kwa mkapa kuangalia pira burudani, pira lenye Kasi, mipango, na kiufundi!

Bila kusahau ni mechi zinazohusisha mabingwa wa nchi watupu, Medeama bingwa Ghana, Aly ahly bingwa Misri, Yanga bingwa Tanzania, Belouzdad bingwa Algeria!

Kwa maana iyo Kama kundi lako ni la wale wakina spana mkononi Bora ukae pembeni kwenye mechi za wanaume!

Narudia Tena wale walioko kwenye kundi la spana mkononi wanajijua wakae pembeni!
 
Shida yenu waswahili midomo mirefu mabingwa wa nchi ambao hawajecheza club Bingwa kwa miaka 25...yelewiiii
Na ndio mabingwa Sasa kwani unatakaje? Ni mabingwa au sio mabingwa?
 
F7mvJQrXgAA_ynT.jpeg

Unateseka
 
Nionyeshe utopolo hata mmoja mwenye akili halafu nitakuuwa hapo hapo.

Wwnye akili ni wawili tu pale kwa mazuzu.
Na wewe ukituonyesha kijana mmoja wa mangungu mwenye akili nitakusajilia manzoki na sio kumleta kwenye uchaguzi na makofi yakapigwa!
 
Nakazia, hawatakiwi hata kuchangia huu uzi.
Wakae pembeni hii ni Ngoma ya wakubwa, itakuwa aibu wakubwa wanakutana alafu wengine waanze kuleta story za jwaneng mara whdad mara Simba na mpira wao ule utafikiri ni ligi ya Mkoa🤔🤔
Hapa mjadala ni wa wakubwa atutaki mende au panya kuingia anga zisizowahusu!
 
Back
Top Bottom