Tumemfanya/ametufanya nini huyu dada?

Mwwehu tu ujana wake kala na nani, uzee anawapelekea watoto wa watu atuache wana JF sie tunadiscuss issue za jamii za kila siku na yeye aliweka headlines kwa nini asijadiliwe? hasira za kukosa ubunge asituletee humu

Ina wezekana :lol:
 
Anatafuta SIFA na kujulikana kirahisi hana lolote ni kumpotezea tu
 
Duhh sikufahamu jf tunajulikana hivi..
Si aanzishe thread tu kama yeye ni mmoja wa members hapa...
kuliko kwenda kutusea kwenye uso kitabu..
My dear utapata ambao watakufariji na kuomba msamaha..
Ila kwa mamna hii utachabwa na kusemwa zaidi..
 
Si hapo....
 
ndugu zangu wana JF sidhan huyu kilaza is worth to be discussed.
kila uchao anakuja na kioja kipya na hajui kwa nafasi yake kwenye jamii anatakiwa kujiheshimu
tusubiri vioja vingi mwaka huu toka kwake.
way to go shy.......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…