EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Bado tunasubiri majibu kutoka kwa Mungu.
Tumemwomba Mungu na kulia sana kwa kuondokewa na shujaa wetu sasa tunasubiri majibu kutoka kwa Mungu.
Hakika Mungu amesikia kila kona ya dunia ikiomboleza.
Ngoja tusubiri, majibu ya Bwana
Tumemwomba Mungu na kulia sana kwa kuondokewa na shujaa wetu sasa tunasubiri majibu kutoka kwa Mungu.
Hakika Mungu amesikia kila kona ya dunia ikiomboleza.
Ngoja tusubiri, majibu ya Bwana