KERO Tumepata huduma mbovu JKCI upande wa VIP, baadhi ya Watumishi wanahudumia Watu kwa kujuana

KERO Tumepata huduma mbovu JKCI upande wa VIP, baadhi ya Watumishi wanahudumia Watu kwa kujuana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Moja kati ya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ni kuhusu ubora wa huduma za Watoa huduma katika taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali, inaonekana ni kama sehemu ambayo Watu wengi hawajali sana kuhusu ‘customer care’.

Nilifika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa huduma tena nikiwa na mwenzangu tukaelekea upande wa VIP tukiamini tutapata huduma nzuri na kwa haraka licha ya kuwa gharama zitakuwa kubwa.

Tulipofika hapo tukasajiliwa pekee kisha tukajulishwa madaktari hawapo tunatakiwa kuwasubiri, hiyo ilikuwa ni asubuhi mapema tu muda wa kazi.

Mgojwa ambaye nilikuwa naye hakuwa katika hali nzuri, tulilazimka kumfikisha hapo akiwa katika kiti cha kusukuma wagonjwa, ajabu tukaambiwa tunatakiwa kusubiri Daktari kwa masaa mawili.

Wahudumu tuliowakuta wa VIP wanahuduma Watu kwa mazoea sana, majibu mabaya, hata unapojaribu kuwaambia wakupe maelekezo kwa usahihi wanajibu kama vile tunaomba msaada.

Hali ya mgonjwa wetu ikawa inazidi kuwa mbaya tukiwa palepwale, tukawa tunajiuliza kama sisi VIP tunapata huduma ya aina hiyo, wale wanaolipa kawaida hali ipoje?

Alipofika Daktari na kuona hali ya mgonjwa ilivyo akasangaa kwanini hatujapata huduma wakati wazi Mgonjwa anaonekana yuko vibaya, ikabidi Daktari aanze kulazimisha vitu viende kwa haraka na kutusaidia kuhakikisha tunapata huduma ikiwemo vipimo.

Kibaya zaidi wakati sisi tunafika kuna wagonjwa wengine tuliwakuta hapo wanasubiri, hivyo mpaka Daktari anafika tayari walikuwa wamekaa kwa muda wa Saa tatu wakisubiri huduma.

Huduma zinatolewa kimafungu, ni kama vile watu wanapewa huduma kwa kujuana, na ukumbuke kuwa hapo ni VIP, inavyoonekana yaani kama hujiongezi wewe mwenyewe hupati huduma kwa wakati.

Kiufupi hakuna mawasiliano mazuri kati ya Wahudumu wa hapa na wagonjwa, wahudumu wanahudumia kwa mazoea au watu maarufu, wasio na connection ni tatizo.

Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?

Kingine kibaya, tulipofika hapo upande wa VIP kulikuwa na mhudumu mmoja ambaye muda mwingi yuko bize na mambo yake, kule kwenye registration walikuwepo wawili.

Tulichobaini kuwa kuna ubaguzi ni kuwa kuna Wagonjwa ambao wanapewa Nurse kabisa wa kushughulikia kila kitu then wengine wanajishughulikia wenyewe kushuka chini kuuliza wapi niende na vitu vingine.

Pia Wahudumu wa JKCI tuliowakuta wako too defensive, yaani hawataki wagonjwa wahoji au kuuliza, ukiwauliza wanakuwa wakali na kukuona wewe ni mkorofi.

Ufafanuzi wa JKCI huu hapa ~ JKCI yatoa ufafanuzi madai ya baadhi ya Watumishi wao kutoa huduma kwa kujuana
 
1.Kuna hospital ya serikali nilienda mara 2 mfululizo kupata huduma ya ultrasound nikalipia pesa dirishani lakini ile hela haikuandikwa kwenye risiti.
Nilipoenda kwenye foleni nikagundua ile hospital hela za ultrasound wahudumu wanaibana haiendi serikalini.

2. Hiyohiyo hospital tumekaa foleni maabara huku mtu wa maabara anachat kama vile hakuna wagonjwa wanaomsubiri.
 
Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?
Pole sana mkuu. Unashangaa hiyo, huko Babati kuna mgonjwa (aling'atwa na nyoka) kafa kwa kutopata huduma ikisubiriwa ipatikane laki na nusu kwa ajili ya matibabu.
Inafikirisha sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20241217-141111.jpg
    Screenshot_20241217-141111.jpg
    290.2 KB · Views: 2
Pole sana mkuu. Inabidi watumishi wa umma hasa sekta nyeti kama hospitali hizo za rufaa wapatiwe mafunzo ya 'customer care' pia kuwe na motisha kwa wafanyakazi wa umma wanaotoa huduma nzuri.

Napendekeza ziwepo hata public portals kwa kila ofisi ya umma inayohudumia wananchi ambapo mwananchi anaweza kutoa rates (1 - 5) kwa waliompatia huduma. Kama vile tunavyotoa rates kwenye playstore au App store na kwenye huduma za bolt, uber na faras.
 
Moja kati ya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ni kuhusu ubora wa huduma za Watoa huduma katika taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali, inaonekana ni kama sehemu ambayo Watu wengi hawajali sana kuhusu ‘customer care’.

Nilifika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa huduma tena nikiwa na mwenzangu tukaelekea upande wa VIP tukiamini tutapata huduma nzuri na kwa haraka licha ya kuwa gharama zitakuwa kubwa.

Tulipofika hapo tukasajiliwa pekee kisha tukajulishwa madaktari hawapo tunatakiwa kuwasubiri, hiyo ilikuwa ni asubuhi mapema tu muda wa kazi.

Mgojwa ambaye nilikuwa naye hakuwa katika hali nzuri, tulilazimka kumfikisha hapo akiwa katika kiti cha kusukuma wagonjwa, ajabu tukaambiwa tunatakiwa kusubiri Daktari kwa masaa mawili.

Wahudumu tuliowakuta wa VIP wanahuduma Watu kwa mazoea sana, majibu mabaya, hata unapojaribu kuwaambia wakupe maelekezo kwa usahihi wanajibu kama vile tunaomba msaada.

Hali ya mgonjwa wetu ikawa inazidi kuwa mbaya tukiwa palepwale, tukawa tunajiuliza kama sisi VIP tunapata huduma ya aina hiyo, wale wanaolipa kawaida hali ipoje?

Alipofika Daktari na kuona hali ya mgonjwa ilivyo akasangaa kwanini hatujapata huduma wakati wazi Mgonjwa anaonekana yuko vibaya, ikabidi Daktari aanze kulazimisha vitu viende kwa haraka na kutusaidia kuhakikisha tunapata huduma ikiwemo vipimo.

Kibaya zaidi wakati sisi tunafika kuna wagonjwa wengine tuliwakuta hapo wanasubiri, hivyo mpaka Daktari anafika tayari walikuwa wamekaa kwa muda wa Saa tatu wakisubiri huduma.

Huduma zinatolewa kimafungu, ni kama vile watu wanapewa huduma kwa kujuana, na ukumbuke kuwa hapo ni VIP, inavyoonekana yaani kama hujiongezi wewe mwenyewe hupati huduma kwa wakati.

Kiufupi hakuna mawasiliano mazuri kati ya Wahudumu wa hapa na wagonjwa, wahudumu wanahudumia kwa mazoea au watu maarufu, wasio na connection ni tatizo.

Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?

Kingine kibaya, tulipofika hapo upande wa VIP kulikuwa na mhudumu mmoja ambaye muda mwingi yuko bize na mambo yake, kule kwenye registration walikuwepo wawili.

Tulichobaini kuwa kuna ubaguzi ni kuwa kuna Wagonjwa ambao wanapewa Nurse kabisa wa kushughulikia kila kitu then wengine wanajishughulikia wenyewe kushuka chini kuuliza wapi niende na vitu vingine.

Pia Wahudumu wa JKCI tuliowakuta wako too defensive, yaani hawataki wagonjwa wahoji au kuuliza, ukiwauliza wanakuwa wakali na kukuona wewe ni mkorofi.
Muhimbili yote hilo tatizo lioo sana haswa watu wa dini fulani wanapenda sana hio michongo mchongo anaonaga wanavyo kuwa busy kuhudumiana haswa wakija wale wenye rangi kidogo
 
Kuna mzazi wa Rafiki yangu nilikuwa naye pale kama week mbili zilizopita nikimsaidia,lakini pamoja na kwamba ilikuwa ni VIP bado nurse nilimfinyia Ten ndiyo akafanya kazi,nchi yetu kila sehemu imeoza
 
Huduma ya afya Tanzania bado sana, tuna survive kwa neema ya Mungu tu. Wale manesi hata wakikuona unakata roho wanasema muacheni huyo anacheza muziki😭😭😭 they don't give a damn
 
Moja kati ya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ni kuhusu ubora wa huduma za Watoa huduma katika taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali, inaonekana ni kama sehemu ambayo Watu wengi hawajali sana kuhusu ‘customer care’.

Nilifika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa huduma tena nikiwa na mwenzangu tukaelekea upande wa VIP tukiamini tutapata huduma nzuri na kwa haraka licha ya kuwa gharama zitakuwa kubwa.

Tulipofika hapo tukasajiliwa pekee kisha tukajulishwa madaktari hawapo tunatakiwa kuwasubiri, hiyo ilikuwa ni asubuhi mapema tu muda wa kazi.

Mgojwa ambaye nilikuwa naye hakuwa katika hali nzuri, tulilazimka kumfikisha hapo akiwa katika kiti cha kusukuma wagonjwa, ajabu tukaambiwa tunatakiwa kusubiri Daktari kwa masaa mawili.

Wahudumu tuliowakuta wa VIP wanahuduma Watu kwa mazoea sana, majibu mabaya, hata unapojaribu kuwaambia wakupe maelekezo kwa usahihi wanajibu kama vile tunaomba msaada.

Hali ya mgonjwa wetu ikawa inazidi kuwa mbaya tukiwa palepwale, tukawa tunajiuliza kama sisi VIP tunapata huduma ya aina hiyo, wale wanaolipa kawaida hali ipoje?

Alipofika Daktari na kuona hali ya mgonjwa ilivyo akasangaa kwanini hatujapata huduma wakati wazi Mgonjwa anaonekana yuko vibaya, ikabidi Daktari aanze kulazimisha vitu viende kwa haraka na kutusaidia kuhakikisha tunapata huduma ikiwemo vipimo.

Kibaya zaidi wakati sisi tunafika kuna wagonjwa wengine tuliwakuta hapo wanasubiri, hivyo mpaka Daktari anafika tayari walikuwa wamekaa kwa muda wa Saa tatu wakisubiri huduma.

Huduma zinatolewa kimafungu, ni kama vile watu wanapewa huduma kwa kujuana, na ukumbuke kuwa hapo ni VIP, inavyoonekana yaani kama hujiongezi wewe mwenyewe hupati huduma kwa wakati.

Kiufupi hakuna mawasiliano mazuri kati ya Wahudumu wa hapa na wagonjwa, wahudumu wanahudumia kwa mazoea au watu maarufu, wasio na connection ni tatizo.

Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?

Kingine kibaya, tulipofika hapo upande wa VIP kulikuwa na mhudumu mmoja ambaye muda mwingi yuko bize na mambo yake, kule kwenye registration walikuwepo wawili.

Tulichobaini kuwa kuna ubaguzi ni kuwa kuna Wagonjwa ambao wanapewa Nurse kabisa wa kushughulikia kila kitu then wengine wanajishughulikia wenyewe kushuka chini kuuliza wapi niende na vitu vingine.

Pia Wahudumu wa JKCI tuliowakuta wako too defensive, yaani hawataki wagonjwa wahoji au kuuliza, ukiwauliza wanakuwa wakali na kukuona wewe ni mkorofi.
Customer Care bongo ni Zerooooooo wala hawajaliii,yaani bado kabisa ni sawa na askari wa bongo ukimuuliza kwa nini uninipiga anakwambiaa kaa chini kwa kipigo ukikaa bado anakupiga tu ukikaa kipigo ukisimama kipigo tu ,
 
Pole sana mkuu. Unashangaa hiyo, huko Babati kuna mgonjwa (aling'atwa na nyoka) kafa kwa kutopata huduma ikisubiriwa ipatikane laki na nusu kwa ajili ya matibabu.
Inafikirisha sana.
Angekua ndugu yangu huyo mgonjwa hao wafanyakazi wa hospital husika wasingekua wanaliona jua
 
Moja kati ya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ni kuhusu ubora wa huduma za Watoa huduma katika taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali, inaonekana ni kama sehemu ambayo Watu wengi hawajali sana kuhusu ‘customer care’.

Nilifika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa huduma tena nikiwa na mwenzangu tukaelekea upande wa VIP tukiamini tutapata huduma nzuri na kwa haraka licha ya kuwa gharama zitakuwa kubwa.

Tulipofika hapo tukasajiliwa pekee kisha tukajulishwa madaktari hawapo tunatakiwa kuwasubiri, hiyo ilikuwa ni asubuhi mapema tu muda wa kazi.

Mgojwa ambaye nilikuwa naye hakuwa katika hali nzuri, tulilazimka kumfikisha hapo akiwa katika kiti cha kusukuma wagonjwa, ajabu tukaambiwa tunatakiwa kusubiri Daktari kwa masaa mawili.

Wahudumu tuliowakuta wa VIP wanahuduma Watu kwa mazoea sana, majibu mabaya, hata unapojaribu kuwaambia wakupe maelekezo kwa usahihi wanajibu kama vile tunaomba msaada.

Hali ya mgonjwa wetu ikawa inazidi kuwa mbaya tukiwa palepwale, tukawa tunajiuliza kama sisi VIP tunapata huduma ya aina hiyo, wale wanaolipa kawaida hali ipoje?

Alipofika Daktari na kuona hali ya mgonjwa ilivyo akasangaa kwanini hatujapata huduma wakati wazi Mgonjwa anaonekana yuko vibaya, ikabidi Daktari aanze kulazimisha vitu viende kwa haraka na kutusaidia kuhakikisha tunapata huduma ikiwemo vipimo.

Kibaya zaidi wakati sisi tunafika kuna wagonjwa wengine tuliwakuta hapo wanasubiri, hivyo mpaka Daktari anafika tayari walikuwa wamekaa kwa muda wa Saa tatu wakisubiri huduma.

Huduma zinatolewa kimafungu, ni kama vile watu wanapewa huduma kwa kujuana, na ukumbuke kuwa hapo ni VIP, inavyoonekana yaani kama hujiongezi wewe mwenyewe hupati huduma kwa wakati.

Kiufupi hakuna mawasiliano mazuri kati ya Wahudumu wa hapa na wagonjwa, wahudumu wanahudumia kwa mazoea au watu maarufu, wasio na connection ni tatizo.

Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?

Kingine kibaya, tulipofika hapo upande wa VIP kulikuwa na mhudumu mmoja ambaye muda mwingi yuko bize na mambo yake, kule kwenye registration walikuwepo wawili.

Tulichobaini kuwa kuna ubaguzi ni kuwa kuna Wagonjwa ambao wanapewa Nurse kabisa wa kushughulikia kila kitu then wengine wanajishughulikia wenyewe kushuka chini kuuliza wapi niende na vitu vingine.

Pia Wahudumu wa JKCI tuliowakuta wako too defensive, yaani hawataki wagonjwa wahoji au kuuliza, ukiwauliza wanakuwa wakali na kukuona wewe ni mkorofi.
Kesho watakuja kukuambia upotoshaji,
Nchi hii ivi tumelaaniwa au? Wazembe kama hao ndio wanasababisha serikali ichukiwe na wananchi,watimuliwe mbali pawekwe wachina na wahindi au wakenya, watz wengi huko kwenye taasisi za serikali ni wazembe sana
 
Moja kati ya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ni kuhusu ubora wa huduma za Watoa huduma katika taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali, inaonekana ni kama sehemu ambayo Watu wengi hawajali sana kuhusu ‘customer care’.

Nilifika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa huduma tena nikiwa na mwenzangu tukaelekea upande wa VIP tukiamini tutapata huduma nzuri na kwa haraka licha ya kuwa gharama zitakuwa kubwa.

Tulipofika hapo tukasajiliwa pekee kisha tukajulishwa madaktari hawapo tunatakiwa kuwasubiri, hiyo ilikuwa ni asubuhi mapema tu muda wa kazi.

Mgojwa ambaye nilikuwa naye hakuwa katika hali nzuri, tulilazimka kumfikisha hapo akiwa katika kiti cha kusukuma wagonjwa, ajabu tukaambiwa tunatakiwa kusubiri Daktari kwa masaa mawili.

Wahudumu tuliowakuta wa VIP wanahuduma Watu kwa mazoea sana, majibu mabaya, hata unapojaribu kuwaambia wakupe maelekezo kwa usahihi wanajibu kama vile tunaomba msaada.

Hali ya mgonjwa wetu ikawa inazidi kuwa mbaya tukiwa palepwale, tukawa tunajiuliza kama sisi VIP tunapata huduma ya aina hiyo, wale wanaolipa kawaida hali ipoje?

Alipofika Daktari na kuona hali ya mgonjwa ilivyo akasangaa kwanini hatujapata huduma wakati wazi Mgonjwa anaonekana yuko vibaya, ikabidi Daktari aanze kulazimisha vitu viende kwa haraka na kutusaidia kuhakikisha tunapata huduma ikiwemo vipimo.

Kibaya zaidi wakati sisi tunafika kuna wagonjwa wengine tuliwakuta hapo wanasubiri, hivyo mpaka Daktari anafika tayari walikuwa wamekaa kwa muda wa Saa tatu wakisubiri huduma.

Huduma zinatolewa kimafungu, ni kama vile watu wanapewa huduma kwa kujuana, na ukumbuke kuwa hapo ni VIP, inavyoonekana yaani kama hujiongezi wewe mwenyewe hupati huduma kwa wakati.

Kiufupi hakuna mawasiliano mazuri kati ya Wahudumu wa hapa na wagonjwa, wahudumu wanahudumia kwa mazoea au watu maarufu, wasio na connection ni tatizo.

Yaani ni tatizo kubwa sana sana, na huruma pia. Kuna mama nilimuona anajigeuza tu yupo hoi, nilipomuuliza akasema ameambiwa Daktari yupo kwenye kikao, awe na Subira, hivi for 3 hours kweli? Kikaoni tu wakati afya za watu zipo tete?

Kingine kibaya, tulipofika hapo upande wa VIP kulikuwa na mhudumu mmoja ambaye muda mwingi yuko bize na mambo yake, kule kwenye registration walikuwepo wawili.

Tulichobaini kuwa kuna ubaguzi ni kuwa kuna Wagonjwa ambao wanapewa Nurse kabisa wa kushughulikia kila kitu then wengine wanajishughulikia wenyewe kushuka chini kuuliza wapi niende na vitu vingine.

Pia Wahudumu wa JKCI tuliowakuta wako too defensive, yaani hawataki wagonjwa wahoji au kuuliza, ukiwauliza wanakuwa wakali na kukuona wewe ni mkorofi.
Poleni sana mkuu
 
Pole sana mkuu. Inabidi watumishi wa umma hasa sekta nyeti kama hospitali hizo za rufaa wapatiwe mafunzo ya 'customer care' pia kuwe na motisha kwa wafanyakazi wa umma wanaotoa huduma nzuri.

Napendekeza ziwepo hata public portals kwa kila ofisi ya umma inayohudumia wananchi ambapo mwananchi anaweza kutoa rates (1 - 5) kwa waliompatia huduma. Kama vile tunavyotoa rates kwenye playstore au App store na kwenye huduma za bolt, uber na faras.
Nashauri wawekwe wakenya au wachina,watz wawekwe upande wa mortuary na sehemu kuchoma taka hatarishi
 
Angekua ndugu yangu huyo mgonjwa hao wafanyakazi wa hospital husika wasingekua wanaliona jua
Kabisa vitu vingine vinauma sana. Mtu kang'atwa na joka, sumu inasambaa mwilini kwanini husimpe huduma kwanza halafu mkawadai.
Hizo taaluma wamezipataje? Wanamatumizi mazuri ya ubongo kweli?? Utu huko wapi???
 
Back
Top Bottom