Tumepeleka wapi vichwa vyetu? Hivi ni kweli mchakato wa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake ulikamilika kwa vigezo vyote vya kikatiba?

Tumepeleka wapi vichwa vyetu? Hivi ni kweli mchakato wa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake ulikamilika kwa vigezo vyote vya kikatiba?

Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Kwa hiyo ndiyo umemaliza yani sindio? Haya koroga chai unywe
 
Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Kuandika kichwa cha habari bila uchambuzi na maelezo yanayojitosheleza ni uthibitisho kuwa akili yako na ya Ndugai iko sawa.
 
Kuandika kichwa cha habari bila uchambuzi na maelezo yanayojitosheleza ni uthibitisho kuwa akili yako na ya Ndugai iko sawa.
Mkuu ulitaka maelezo kiasi gani kwa mfano; huelewi nini?
 
Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Haujakamilikaje wakati mbunge mwenyewe kashakiri kuwa wamefukuzwa, sasa wewe unataka uwe na ukamilifu upi. Yaani wewe kwani unasemaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulitaka maelezo kiasi gani kwa mfano; huelewi nini?
Chambua hiyo katiba ya Chadema na katiba ya nchi inayosema mchakato haujakamilika. Nape sio mjinga hadi aongee vile.Anawanasheria na mtandao wa watu wa kila eneo.
 
Mchakato unakamilika kama waliandikiwa barua ya kutimuliwa , na uzuri wake mwingine amekiri mwenyewe bungeni juzi. Haya mengine wanavyofanya ni kucheza na legal loopholes ili waendelee kula posho Ila wao wanajijua kabisa sio wabunge Bali no wahuni tu. Hawaoni hata aibu . Wanawake wamegeuka conmen
 
Mkuu usijiumeume nyoosha maneno maana wewe hunishindi na teknolojia ya kukupata ninayo- wewe sema tu
Kutishana ameondoka nako Mwendazake pole zako
Kwa taarifa zako wewe ndiyo upo hatarini Mama akikunasa na kamtandao kako ka kutisha watu uta shaa
 
Mchakato unakamilika kama waliandikiwa barua ya kutimuliwa , na uzuri wake mwingine amekiri mwenyewe bungeni juzi. Haya mengine wanavyofanya ni kucheza na legal loopholes ili waendelee kula posho Ila wao wanajijua kabisa sio wabunge Bali no wahuni tu. Hawaoni hata aibu . Wanawake wamegeuka conmen
Mkuu umeweka neno zuri kabisa LEGAL LOOPHOLES. Zibeni hizo legal loophole mmalize mchakato muone kama watabaki bungeni.
 
Chambua hiyo katiba ya Chadema na katiba ya nchi inayosema mchakato haujakamilika. Nape sio mjinga hadi aongee vile.Anawanasheria na mtandao wa watu wa kila eneo.
Kuna rufaa ya akina Halima hakijasikilizwa wewe na Nape mnawezaje kuwa sahihi kuwa tayari wamefukuzwa kama siyo uzandiki?
 
Hujatukanwa,jibu hoja
Hoja yangu mi kuwa mchakato wa kuwagukuza uanachama haujakamilika kwa mjibu wa katiba ya CHADEMA, JMT, na NATURAL LAW. Wewe na mwenzako kasome hayo marejeo matatu muje na joha yenu siyo matusi.
Kwa taarifa ni kuwa CHADEMA wanafaidika wanapata ruzuku kupitia wabunge hao na fursa ya juichafua serikali kuwa haiiheshimu sheria hoja ambayo Nape anajarinu kuukuza kwa upepo.
 
Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Hivi mchakato wa wale wabunge wa cuf waliofukuzwa na propesa ulikamilikaje mpaka spika akatoa taarifa kesho yake tu kuwa wamefukuzwa?
 
Mkuu kama nakumbuka waliambiwa wakate rufaa na wamekata ila CHADEMA haina hela za kuitisha mkutano wa kusikiliza rufaa yao. Mkuu supplementary siyo sawa na DISCONTINUITY
Umekuwa mtego ili yaliyo gizani yazidi kujulikana
 
Kuna rufaa ya akina Halima hakijasikilizwa wewe na Nape mnawezaje kuwa sahihi kuwa tayari wamefukuzwa kama siyo uzandiki?
Unajadili siasa na hufanyi research, ndio maana umeitwa bumunda.

Adhabu haisimamishwi na kukata rufaa, leo uhukumiwe kwa wizi, rufaa yako unakata ukiwa jela. By the way, kuna wabunge wa viti maalum CUF waliokuwa upande wa Maalim walifukuzwa na Lipumba, pamoja na kukata rufaa Ndugai bado aliwafutia ubunge wao. Na baadae walipoenda mahakamani walishinda kesi na kurudishiwa uanachama wao.
 
Back
Top Bottom