Nzwangendaba
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 518
- 722
Kwa hiyo ndiyo umemaliza yani sindio? Haya koroga chai unyweMaoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Kuandika kichwa cha habari bila uchambuzi na maelezo yanayojitosheleza ni uthibitisho kuwa akili yako na ya Ndugai iko sawa.Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Haujakamilikaje wakati mbunge mwenyewe kashakiri kuwa wamefukuzwa, sasa wewe unataka uwe na ukamilifu upi. Yaani wewe kwani unasemajeMaoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Chambua hiyo katiba ya Chadema na katiba ya nchi inayosema mchakato haujakamilika. Nape sio mjinga hadi aongee vile.Anawanasheria na mtandao wa watu wa kila eneo.Mkuu ulitaka maelezo kiasi gani kwa mfano; huelewi nini?
Mi nilidhani haya mambo ya kutishana yalizikwa na jiwe..Mkuu usijiumeume nyoosha maneno maana wewe hunishindi na teknolojia ya kukupata ninayo- wewe sema tu
Hujatukanwa,jibu hojasioni unapata wapi haki ya kunitukana?
Ndiyo tumeshawafukuza sasa kwa taratibu tulizojiwekea,kama kuna mtu anateseka akashtaki kwa mwendazakeMaamuzi yao ya rufani yanasemaje??
Mchakato wa kuwafukuza ulijaa mihemko badala ya kufuata taratibu.
UVCCM kwa vitisho tu, hamjambo.Mkuu usijiumeume nyoosha maneno maana wewe hunishindi na teknolojia ya kukupata ninayo- wewe sema tu
Wewe Halima imekula kwakoMkuu ulitaka maelezo kiasi gani kwa mfano; huelewi nini?
Kutishana ameondoka nako Mwendazake pole zakoMkuu usijiumeume nyoosha maneno maana wewe hunishindi na teknolojia ya kukupata ninayo- wewe sema tu
Mkuu umeweka neno zuri kabisa LEGAL LOOPHOLES. Zibeni hizo legal loophole mmalize mchakato muone kama watabaki bungeni.Mchakato unakamilika kama waliandikiwa barua ya kutimuliwa , na uzuri wake mwingine amekiri mwenyewe bungeni juzi. Haya mengine wanavyofanya ni kucheza na legal loopholes ili waendelee kula posho Ila wao wanajijua kabisa sio wabunge Bali no wahuni tu. Hawaoni hata aibu . Wanawake wamegeuka conmen
Kuna rufaa ya akina Halima hakijasikilizwa wewe na Nape mnawezaje kuwa sahihi kuwa tayari wamefukuzwa kama siyo uzandiki?Chambua hiyo katiba ya Chadema na katiba ya nchi inayosema mchakato haujakamilika. Nape sio mjinga hadi aongee vile.Anawanasheria na mtandao wa watu wa kila eneo.
Hoja yangu mi kuwa mchakato wa kuwagukuza uanachama haujakamilika kwa mjibu wa katiba ya CHADEMA, JMT, na NATURAL LAW. Wewe na mwenzako kasome hayo marejeo matatu muje na joha yenu siyo matusi.Hujatukanwa,jibu hoja
Hivi mchakato wa wale wabunge wa cuf waliofukuzwa na propesa ulikamilikaje mpaka spika akatoa taarifa kesho yake tu kuwa wamefukuzwa?Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Mdee arudi CCM tu.Aachane na CDMMaamuzi yao ya rufani yanasemaje??
Mchakato wa kuwafukuza ulijaa mihemko badala ya kufuata taratibu.
Umekuwa mtego ili yaliyo gizani yazidi kujulikanaMkuu kama nakumbuka waliambiwa wakate rufaa na wamekata ila CHADEMA haina hela za kuitisha mkutano wa kusikiliza rufaa yao. Mkuu supplementary siyo sawa na DISCONTINUITY
Unajadili siasa na hufanyi research, ndio maana umeitwa bumunda.Kuna rufaa ya akina Halima hakijasikilizwa wewe na Nape mnawezaje kuwa sahihi kuwa tayari wamefukuzwa kama siyo uzandiki?
Hujatukanwa wewe headless chicken. Wawekee vifungu afu ukae kimya.sioni unapata wapi haki ya kunitukana?