Maamuzi yao ya rufani yanasemaje??
Mchakato wa kuwafukuza ulijaa mihemko badala ya kufuata taratibu.
Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Huu ndio uelewa wako? Nadhani nadala ya kupoteza mda wasikilizeni na jauamua rufaa yao ili yaishe- mataendlea kupiga kelele ambazo haziwatowi bungeni. Au kwa vile mnapokea ruzuku kupitia kwako manapiga kelele huku mnakula ruzuku siyo?Unajadili siasa na hufanyi research, ndio maana umeitwa bumunda.
Adhabu haisimamishwi na kukata rufaa, leo uhukumiwe kwa wizi, rufaa yako unakata ukiwa jela. By the way, kuna wabunge wa viti maalum CUF waliokuwa upande wa Maalim walifukuzwa na Lipumba, pamoja na kukata rufaa Ndugai bado aliwafutia ubunge wao. Na baadae walipoenda mahakamani walishinda kesi na kurudishiwa uanachama wao.
Tukumbushe ilikuwaje- kama vile ndani ya CUF uliisha na wakaenda mahakamani. Kwa upande wa hawa ndani ya CHADEMA mkachakato haujaisha na wahanga hawawezi kwenda mahakamani. Rejea barua ya kujiuzulu kwa Lipumba- Mkutano mkuu ndio uliopaswa kuamua. haukuwahi kukaa na kuamua suala likabaki hewani Lipumba ukabadili mawazo kilichotokea wote tunajuaHivi mchakato wa wale wabunge wa cuf waliofukuzwa na propesa ulikamilikaje mpaka spika akatoa taarifa kesho yake tu kuwa wamefukuzwa?
Basi sawa headless chicken nimekuelewa.Mkuu unategemea headless chicken akupe vifungu tena basi utakuwa zaidi ya headless chicken
Ubatili ni ubatili tu, Ndugai ataingia kwenye record kama Spika wa hovyo kabisa kuwahi kutokea. Msekwa alishasema, na Nape juzi kasema; hawa ni wabunge batiliHuu ndio uelewa wako? Nadhani nadala ya kupoteza mda wasikilizeni na jauamua rufaa yao ili yaishe- mataendlea kupiga kelele ambazo haziwatowi bungeni. Au kwa vile mnapokea ruzuku kupitia kwako manapiga kelele huku mnakula ruzuku siyo?
Mkuu achana na Msekwa na Nape- malizeni kwa kuamua rufaa yao ili kieleweke mbona ni rahisi tu.Ubatili ni ubatili tu, Ndugai ataingia kwenye record kama Spika wa hovyo kabisa kuwahi kutokea. Msekwa alishasema, na Nape juzi kasema; hawa ni wabunge batili
Mpumbavu wewe.kwani mfungwa akikata rufaa mahakama ya juu anapaswa kuwa wapi wakati rufaa ikiwa inasikilizwa!Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Mimi? Au umekosea?Kumbe unayo sasa mbona unataka usaidiwe kuonyeshwa vifungu husika?
Ungekuwa si CHADEMA ningehamaki lakini kwa vile wewe ni CHADEMA na mfuasi wa bwana yule endelea tu lakini ukweli uko pale pale wako bungeni; hamuwezi kuwatoa; wanakula mshahara wao na nyie mnapata ruzuku; na kwa sababu ya utamu wa ruzuku mmeshindwa kusikiliza rufaa yao hatua ambayo ingehitimisha nia yenu ovu ya kuwafukuza kwenye chama chenuMpumbavu wewe.kwani mfungwa akikata rufaa mahakama ya juu anapaswa kuwa wapi wakati rufaa ikiwa inasikilizwa!
Wewe ndiyo umepeleka ubongo wako lilizo kwa ushabiki wako wa kipumbavu. Chama kimeshasema kimewafukuza nyie mnawashikilia! Kama wanahitajika mbona mliwaibia kura????
Mahayawani wote
Sasa umeanza mchakato wa kuwa mpumbavu, subiri utangazwe rasmi kuwa mheshimiwa mpumbavu. Unatisha watu JF? Kawatishe Lumumba wanaotishwa wanatembelea magoti km2.Mkuu usijiumeume nyoosha maneno maana wewe hunishindi na teknolojia ya kukupata ninayo- wewe sema tu
Ulishajibiwa:Ikiwa umehukumiwa kufungwa na kuna fursa ya kukata rufaa unaachilwa huru au unatumikia adhabu wakati process ya rufaa inaendelea?Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine niliwahi kuwasoma hapa wenye akili kama zako tu. Mm sina kadi ya chadema japo sio kosa kuwa nayo. Najitambua ndo mana siongei kwa kuimba taarabu kama wewe bi kopa. Hakuna popote nilivyotaja chadema kwenye hoja yangu, hakuna popote nilipotaja ruzuku. Na chadema kama chama wanautaratibu wao wa kuitisha vikao vya baraza ili waamue hatima ya hao wabunge. Kuendelea kuwalipa mishahara na posho hakumnufaishi yeyote wala kumkomoa Bali ni kipimo cha ujinga cha bwana ndugu.Ungekuwa si CHADEMA ningehamaki lakini kwa vile wewe ni CHADEMA na mfuasi wa bwana yule endelea tu lakini ukweli uko pale pale wako bungeni; hamuwezi kuwatoa; wanakula mshahara wao na nyie mnapata ruzuku; na kwa sababu ya utamu wa ruzuku mmeshindwa kusikiliza rufaa yao hatua ambayo ingehitimisha nia yenu ovu ya kuwafukuza kwenye chama chenu