Chambua hiyo katiba ya Chadema na katiba ya nchi inayosema mchakato haujakamilika. Nape sio mjinga hadi aongee vile.Anawanasheria na mtandao wa watu wa kila eneo.
Mie sioni tatizo liko wapi- kwa nini hawasikilizwi rufaa yao?Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine niliwahi kuwasoma hapa wenye akili kama zako tu. Mm sina kadi ya chadema japo sio kosa kuwa nayo. Najitambua ndo mana siongei kwa kuimba taarabu kama wewe bi kopa. Hakuna popote nilivyotaja chadema kwenye hoja yangu, hakuna popote nilipotaja ruzuku. Na chadema kama chama wanautaratibu wao wa kuitisha vikao vya baraza ili waamue hatima ya hao wabunge. Kuendelea kuwalipa mishahara na posho hakumnufaishi yeyote wala kumkomoa Bali ni kipimo cha ujinga cha bwana ndugu.
Mtu akikata rufaa akiwa gerezani huwa anaachiliwa akingoja maamuzi ya rufaa yake??
Hujui lolote umejaza ujinga kichwani wewe. Chadema wana utaratibu wao wa kuitisha kikao cha baraza . Hata ccm pia ndo maana mkutano wa ccm ukaitishwa tarehe 30 mwezi huu mbona haujaitishwa baada ya kufa yule mpuuzi JPM?Mie sioni tatizo liko wapi- kwa nini hawasikilizwi rufaa yao?
Mkuu inawezekana ila nakushauri usilazimishe mambo na kama unauwezo kawatoe bungeniHujui lolote umejaza ujinga kichwani wewe. Chadema wana utaratibu wao wa kuitisha kikao cha baraza . Hata ccm pia ndo maana mkutano wa ccm ukaitishwa tarehe 30 mwezi huu mbona haujaitishwa baada ya kufa yule mpuuzi JPM?
Huo uharaka unaotaka wewe ni kwa utashi wako wewe.
Je mfungwa akikata rufaa mahakama ya juu huwa anaachiliwa huku rufaa yake ikiwa inasikilizwa?
Ukifukuzwa sehemu (whether kwa mchakato sahihi au usio sahihi) inabidi uondoke na kama utaona hukutendewa haki unaweza kukata rufaa kwa ngazi ya juu. Huu ndio utaratibu kila sehemu, hata kazini. Hata mahakamani, hukumu ikitolewa, ambayo mhusika ataona siyo ya haki, hatagoma kuitumikia, bali wakati anatumikia hiyo hukumu, atakata rufaa kwa ngazi husika. Sasa hata kwa akina Halima Mdee kama wanaona makosa yalifanyika kwa upande wa chama kwa wao kuapishwa kinyume cha utaratibu wa chama na chama kikachukua hatua, inabidi uamuzi wa chama uheshimiwe na walalamikaji wakate rufaa 'to rectify the wrong and set the records straight'. Full stop!Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Wewe ndiyo unalazimisha mambo japo sijui una elimu gani inayokufanya kuwa na akili ndogo hivyo? Kwamba kila anayetetea katina wewe kwako ni chadema!Mkuu inawezekana ila nakushauri usilazimishe mambo na kama unauwezo kawatoe bungeni
Mkuu soma hii halafu uendelee kupinga kwa sababu wewe u mfuasi wa bwana yuleWewe ndiyo unalazimisha mambo japo sijui una elimu gani inayokufanya kuwa na akili ndogo hivyo? Kwamba kila anayetetea katina wewe kwako ni chadema!
Kwamba pesa za umma inaweza kulipa watu wasiostahili kwa mujibu wa katiba wewe unashangilia ukifikiri unamkomoa mbowe?
Kama nilienda shule basi itakuwa ulikuwa unagelezea kwa wenzio wewe.
Haiwezekani logic ndogo kama hii usielewe!
Mwaka juzi kulikuwa na uchaguzi wa serikali.za mitaa hapa. Watu waliondolewa kwa mambo ya kipuuzi kabisa . Chukulia mfano kungekuwa na wagombea wenye sifa za kina halima na wenzake! Wangeruhusiwa kugombea wakati ule ati KISA rufaa hazijakamilika au wangeenguliwa?
Ndio maana nikakwambia ubatili ni ubatili tu. Kuna tofauti kubwa kati ya legality na legitimacy. Taratibu guilty conscious inaanza kuwatafuna.Mkuu achana na Msekwa na Nape- malizeni kwa kuamua rufaa yao ili kieleweke mbona ni rahisi tu.
Mkuu ebu tuweke kumbukumbu sawa - kule gerezani kuna wafungwa na mahabusu unaelewa tofauti yake?Ukifukuzwa sehemu (whether kwa mchakato sahihi au usio sahihi) inabidi uondoke na kama utaona hukutendewa haki unaweza kukata rufaa kwa ngazi ya juu. Huu ndio utaratibu kila sehemu, hata kazini. Hata mahakamani, hukumu ikitolewa, ambayo mhusika ataona siyo ya haki, hatagoma kuitumikia, bali wakati anatumikia hiyo hukumu, atakata rufaa kwa ngazi husika. Sasa hata kwa akina Halima Mdee kama wanaona makosa yalifanyika kwa upande wa chama kwa wao kuapishwa kinyume cha utaratibu wa chama na chama kikachukua hatua, inabidi uamuzi wa chama uheshimiwe na walalamikaji wakate rufaa 'to rectify the wrong and set the records straight'. Full stop!
Mkuu napenda nikuhakikishie- mlisema haya haya huko nyuma- watabaki bungeni mpaka pale mtakapo kamilisha mchakato wa kufukuzwa kwao.Ndio maana nikakwambia ubatili ni ubatili tu. Kuna tofauti kubwa kati ya legality na legitimacy. Taratibu guilty conscious inaanza kuwatafuna.
Ukweli ni kwamba temperature imeshaanza kupanda, na hata mwaka 1 hawajamaliza.
Hawata-survive miaka 5 hawa, it's a matter of time tu.
Nenda kwenye point. Achana na wafungwa na mahabusu tutapoteza muda bure.Mkuu ebu tuweke kumbukumbu sawa - kule gerezani kuna wafungwa na mahabusu unaelewa tofauti yake?
Unakataje Rufaa Kama hujafukuzwa you mutuziiiMaamuzi yao ya rufani yanasemaje??
Mchakato wa kuwafukuza ulijaa mihemko badala ya kufuata taratibu.
Kama katiba yao inaruhusu rufani inamaana mchakato bado haujakamilika, na maamuzi ya mwisho hayajafanyika.Unakataje Rufaa Kama hujafukuzwa you mutuziii
Ulichoingia kukitetea hutawezasioni unapata wapi haki ya kunitukana?
Unapotokea mgogoro juu ya jambo fulani - kunakuwa na mashaka juu ya uhalali au la na ili ijulikane kama ni halali au la inatakiwa wahusika wakate rufaa dhidi ya uamuzi wa chama. Chadema wanadai hao wanachama wao 19 hawakufuata utaratibu wa uteuzi (walijiteua) na inaonekana pia wanaonyesha walishajulisha ofisi ya Spika baada ya kuwa wameapishwa kwamba uwepo wao bungeni hautokani na ridhaa ya chama chao. Na kwa vile na wao wanadai walipitishwa na chama, sisi tunaosikia pande zote mbili tunakuwa na mashaka: 1) ama chama chao kiko sahihi kwa yale kilichofanya au 2) wao wako sahihi kwa kile walichofanya. Kwa vile, kuna upande wa chama na upande wa wale waliofukuzwa na chama, kujua uhalali wa nani yuko sahihi mpaka rufaa yao isikilizwe na uamuzi utolewe na kama upande fulani utaona bado haujaridhika utakata rufaa...hivyo hivyo mpaka uamuzi wa mwisho utakapotolewa.Mkuu uko sawa na kwa usawa wako hoja kuu ni kwamba mpaka hapo mchakakto wa kuwafukuza uanachama utakapohitimishwa wale wanawali 19 ni wabunge halali
Mkuu umeeleza na umeeleza vizuri kabisa. Hapa hoja ni kama mchakato wa kufukuzwa ulihitimishwa inavyotakiwa kikatiba.Unapotokea mgogoro juu ya jambo fulani - kunakuwa na mashaka juu ya uhalali au la na ili ijulikane kama ni halali au la inatakiwa wahusika wakate rufaa dhidi ya uamuzi wa chama. Chadema wanadai hao wanachama wao 19 hawakufuata utaratibu wa uteuzi (walijiteua) na inaonekana pia wanaonyesha walishajulisha ofisi ya Spika baada ya kuwa wameapishwa kwamba uwepo wao bungeni hautokani na ridhaa ya chama chao. Na kwa vile na wao wanadai walipitishwa na chama, sisi tunaosikia pande zote mbili tunakuwa na mashaka: 1) ama chama chao kiko sahihi kwa yale kilichofanya au 2) wao wako sahihi kwa kile walichofanya. Kwa vile, kuna upande wa chama na upande wa wale waliofukuzwa na chama, kujua uhalali wa nani yuko sahihi mpaka rufaa yao isikilizwe na uamuzi utolewe na kama upande fulani utaona bado haujaridhika utakata rufaa...hivyo hivyo mpaka uamuzi wa mwisho utakapotolewa.
1) Sasa ni nani yuko sahihi: wale 19 au Chadema? Jibu lake ni hatujui? 2) Je, Chadema kuwafuta uanachama kiko sahihi kwa sababu zilizotolewa? Ndiyo na hapana. Ni ndiyo kama walijiteua na ni hapana kama chama ndicho kilichowateua. 3) Je, chama kuwafuta uanachama umeathiri uanachama ndani ya chama na ndani ya bunge? Ndiyo, kwa sababu chama kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyorekebishwa hadi 2005) inavyosema:
71.-(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake
katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo (NB: mambo mengine sikuyataja hapa) -
(e) ikiwa Mbunge ataacha kuwa mwanachama wa chama alichokuwamo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa Mbunge.
Chadema kuwafukuza uanachama (kimejiondoa kwenye udhamini wao), hivyo wanakosa sifa za kuendelea kuwa wabunge kwa sababu si wanachama wa siasa cha siasa chochote. Na Tanzania hadi siku ya leo hairuhusu mgombea binafsi maana ungeweza kusema wanajidhamini wenyewe. Hapa ndipo penye mzizi wa fitina!