Zee la michanganuoHiyo camp ni ya kazi gani, ni site ya ujenzi?
Ila sishangai, hapo ni porini , usafiri peke yake hadi kufika huko mbugani unaweza kuta milioni imeenda, mabati na mbao labda milioni 1 nyingine, ufundi milioni 1, milioni 4 faida ya mkandarasi
Sio mbaya hapo ndio urefu wa kamba yao ulipoishiaView attachment 2189370Hivi watendaji wa Awamu hii wanatuonaje Watanzania ? Kuanzia report ya CAG ni Wizi kweupe kabisa hata kama mama sio mkali jamani huu upigaji unapitiliza sanaa
Asali ya nyuki au ile nyingine mkuu? [emoji12] [emoji12]Wenzangu mnalamba asali hamrambi
Mwisho wa kunukuu.