TUMEPIGWA? Hili ni treni la SGR nchini Kenya miaka sita iliyopita. Gari linaifukuzana nayo kwa speed ya 120 Km/Hour

TUMEPIGWA? Hili ni treni la SGR nchini Kenya miaka sita iliyopita. Gari linaifukuzana nayo kwa speed ya 120 Km/Hour

Walikuwa wanatest ili kuonesha kuwa hizo hela walizotuibia wamefanya kitu!!
Bajeti ya mradi mzima wa SGR iliyokadiriwa enzi ya Magufuli itakuja kuwa mara kumi mradi huu ukiisha!! Ndio maana ukiwauliza mpaka sasa mradi umekula kiasi gani hawawezi kusema na Samia anazidi kuzurula nje kwenda kukopa akiongozana na madalali wake!!😹
Wataka kusema watu watakua wakijiongezea SIFURI mbele??
 
Bongo kazi ipo! Tazama TBC wanavyohubiri kuhusu mama!
Utafikiri NABII WA KUTUPA MAENDELEO?! KUMBE KUPAKA HINA, MITANDIO, DHAHABU NA SAA ZA BEI MBAYA!
BURE KABISA...
Mama kweli anapuyanga hata mimi namchukia vibaya kumuona yupo madarakani na serikali yake imekua ya ahadi ya uongo.

Ila kwa SGR wamejitahidi tusiwe waongo yani kasi ya majaribio ilitumia 100kmph-120kmph .
Hiyo ni kasi ya majaribio sio maximum speed .
 
Kila mwenye akili anajua hiyo treni haijafikia viwango vya duniani kama fast train. Ingesaidia sana badala ya kulazimisha kujenga ma BRt hata hapa mjini dsm na miji mingine mikubwa. Hiyo ni tazara iliyopakwa rangi
 
Baraka zitatoka wapi kama kila mtanzania analalamika ugumu wa maisha huku viongozi wakiongozwa na Samia Saluhu Hassan wakiishi maisha ya kifahali,hilo treni linatskiwa kilipuka tu,kila kitu chini ya CCM ni feki.
Hahaha
 
Mama kweli anapuyanga hata mimi namchukia vibaya kumuona yupo madarakani na serikali yake imekua ya ahadi ya uongo.
Ila kwa SGR wamejitahidi tusiwe waongo yani kasi ya majaribio ilitumia 100kmph-120kmph .
Hiyo ni kasi ya majaribio sio maximum speed .
Unamchukia Bure. .wachukie wale wanaowaingiza Madarakani Viongozi wezi na mafisadi
 
Mbona kwenye Mabarabara hakuna Fence na sisi Madereva huwa tunatembea zaidi ya 120kphh?
Bro are you realy serious ufananishe chombo cha reli na gari??
Mara nyingi hiko chombo cha reli usipokidhibiti kwa umakini huhama njia yani hutoka relini nadhani unaelewa kinachofuata ni nini.
Niliwahi kuwa katika moja wapo ya ajali ya treni maana nautumia sana huo usafiri kuelekea Tabora na Katavi Mpanda.
Acha kabisa usifananishe gari na treni.
Gari ikitetereka usukani kuna namna ya kuiweka sawa na kujiokoa ila treni ikihama njia ni DISASTER.
 
Unaonesha unaendeshwa na mihemko pasi na kuwa mpembuzi.
Sawa serikali ina madudu yake ILA USIWE FALA WA KUKOSOA KILA KITU.
Treni ya DMU ya Kenya nimefananisha na DIESEL LOKOMOTIVES ZA MGR ZA TANZANIA.
Sijui umeelewa nachozungumzia!?
Pia hizo zipo katika majaribio punguza uzwazwa na kuwa factual wacha matusi na usome kwa kuelewa.
Mkuu ikikupendeza achana nayo mizuzu na mizwazwa hiyo; hiyo ndo daima ipo hivyo utajipa tabu bure.

Don't argue with fools cause they will drag you down to their level and beat you with experience!!

Nafikiri umenielewa.........
 
Walikuwa wanatest ili kuonesha kuwa hizo hela walizotuibia wamefanya kitu!!
Bajeti ya mradi mzima wa SGR iliyokadiriwa enzi ya Magufuli itakuja kuwa mara kumi mradi huu ukiisha!! Ndio maana ukiwauliza mpaka sasa mradi umekula kiasi gani hawawezi kusema na Samia anazidi kuzurula nje kwenda kukopa akiongozana na madalali wake!!😹
Hapa watu wanapiga pesa haswa
 
Bongo kazi ipo! Tazama TBC wanavyohubiri kuhusu mama!
Utafikiri NABII WA KUTUPA MAENDELEO?! KUMBE KUPAKA HINA, MITANDIO, DHAHABU NA SAA ZA BEI MBAYA!
BURE KABISA...
Fanya kazi utafute hela nyinyi ndio rinda mnatolewagwa kwa kuhongwa
 
Mimi Mkenya hapa, nasoma comments tu, sisemi kitu maana tulitukanwa sana....hehehe
 
Watu wanatafuta kila namna ya kukosoa. Ujinga mtupu. Kwa nature ya watu tulionao na unafiki ulivyo mkubwa viongozi wa taifa hili wanatakiwa wawe wanafanya maamuzi magumu linapokuwa ni swala lenye manufaa kwa Taifa.

Kuna watu wao ni kukosoa kila kitu. Mradi wa mwalimu nyerere ni fundisho tosha kwa wa Tz kuhusu aina ya viongozi tunaowataka. Hata kama Magufuli hayupo hai lazima tushukuru uthubutu wake katika hili. Mzee alikuwa anaona mbali sana. Pia Raisi Samia lazima tumpongeze kwa kazi kubwa aliyo ifanya . Kwa hali aliyoipokea nchi angeweza kuachana na mradi huu ili kufurahisha mioyo ya waliokuwa wanampinga Magufuli. Lakini ameweza kuishi kwenye Maono ya Magufuli na kupambana mpaka mradi umekamilika.

Wapingaji kila kitu husasan wanaoandamana saiv wawe na chembe ya aibu. Kama ni waungwana Watoke hadharani waombe msamaha kwa watanzania kwa kutumika vibaya kwa kutolitakia mema Taifa.

Raisi Samia na viongozi wengine Msikubali kabisa kutolewa kwenye reli kunapokuwa na jambo la msingi na lenye manufaa kwa Taifa. Kuna wanasiasa wanaotumika. Wananchi tunajua cha kuwafanya 2025
 
Back
Top Bottom