Nalipa kodi weweeWewe ushawahi kutoa pesa ngapi kutoka katika kipato chako ili kuchangia maendeleo pale kijijini kwenu Mkuu?
Elon Musk halipi kodi?Nalipa kodi wewee
Mbaguzi tu na roho mbaya. Na badooElon Musk halipi kodi?
Hata kama kinachotufarahisha na kutupa faraja utajiri wake unashuka na ana maumivu makali. Acha aonje joto la Jiwe. Jamaa lilijionaga Mungu mtu flani. Kina Bill Gates, Jeff Bezos hawanaga wenge na kujifanyaNdio akili zetu cc waafrika kuombea waliofanikiwa wafeli ingali hata akifilisika Bado awezi kuwa km ww ..
Tulia weweeeMbona uchawi sasa huu!
Unafurahi yeye kushuka utajiri kua wa tatu kati ya watu Billions
Aya wewe Ngosha ni wa ngapi hata hapo kijijini kwenu kwa utajiri?
hio ndio ile inaitwa adui yako muombee njaa? πE bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezo...
Wee endelea kuomba lkn kumbuka kuwa utajiri wake haujapatikana kwa kuomba.E bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos...
π€£π€£Mbaguzi tu na roho mbaya. Na badoo
Wabongo bwanaa!....E bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos...
πππWewe ushawahi kutoa pesa ngapi kutoka katika kipato chako ili kuchangia maendeleo pale kijijini kwenu Mkuu?
Huu ni uchawi na ufukara. Mafukara na wachawi hufurahia sana maanguko ya watu.E bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos...
Elon musk ni adui wa mwamba kumbehio ndio ile inaitwa adui yako muombee njaa? π
shangwe zake zimenistua πElon musk ni adui wa mwamba kumbe
π
Na ukute jamaa ni mtu mzima na familia yake..Ndio akili zetu cc waafrika kuombea waliofanikiwa wafeli ingali hata akifilisika Bado awezi kuwa km ww ..
PumbafffE bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.
Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.
Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Mboga ya majani hiyoshangwe zake zimenistua π