Tumepokea kwa shangwe kushuka kwa utajiri wa Elon Musk na kuwa watatu

Tumepokea kwa shangwe kushuka kwa utajiri wa Elon Musk na kuwa watatu

Nilijua kafilisika kabisa mpo nae hapo Gulwe Wilaya ya Kibakwe kumbe bado ni watatu Kwa utajiri duniani Kwa mujibu wa waleta taarifa.###HabariZaTajiriMuulizeMaskini###
 
Musk na wenzake wote ni mapambo tu, matajiri wa kweli na wenye uwezo mkubwa wapo na wamejificha.
 
E bana wanajamvi inakuwaje!

Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.

Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.

Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.

Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Yaani matatizo yenu mnataka mtu binafsi atoe pesa zake kuwasaidia. Ubadhilifu wote unaotokea ndani ya bara hili, itakuwa ni kichaa peke yake atakayetoa pesa yake binafsi kulisaidia.
 
Wabongo bwanaa!....

Wewe mwenyewe hata baiskeli tu! huna!.... Unafurahishwa kuporomoka kwa musk!? Kuwazia watu mabaya tu!

Hivi kwa akili yako.... Hata Elon musk akifulia anaweza kulingana hata theruthi moja na MO wenu bilionea!!?

Hivi kwa akili yako...unafikiri Tembo hata akikonda...anaweza kulingana na Mbwa!?
Mtuacheni tushereheke bana. Bora wote tuwe sawa tu.
 
Ebana wanajamvi inakuwaje!

Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.

Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.

Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.

Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
we ungeweza
 
Ebana wanajamvi inakuwaje!

Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.

Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.

Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.

Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Karne ya 21 Bado Kuna watu mnafikiri katika bara Zima la Africa kusaidiwa na mtu mmoja kisa kafanikiwa ?
Kwani umewahi kujiuliza misaada kiasi Gani bara la Africa linpokea Kwa mwaka kutoka katika mabara mengine na mashirika ya misaada kutoka nje ?

Unadhani Elon Musk akitoa huo msaada ndo utabadili Nini Africa ?

Africa imemsaidiaje Elon musk kufika hapo alipofika ?

TUJITASAHIHISHE KUNA MAHALI AFRICA HATUKO SAWA ,,, HATUNA UZALENDO WA KWELI ZAIDI YA UNAFKI NA KUJIPENDEKEZA NDO VIMETUJAA
 
Mafanikio hayaji Kwa kuwachukia waliofanikiwa Bali kujifunza kutoka kwao
 
Ebana wanajamvi inakuwaje!

Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.

Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.

Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.

Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Wewe umemtumia bibi yako au mama yako Tsh ngapi mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom