Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Baba salehe 😂Na ukute jamaa ni mtu mzima na familia yake..
Nyumbani anaitwa baba naniliu
By Weusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba salehe 😂Na ukute jamaa ni mtu mzima na familia yake..
Nyumbani anaitwa baba naniliu
Jamaa hovyo kabisa huyo baba salehe 😂😂😂😂Baba salehe 😂
By Weusi
Tayari nimeshakuwin kisaikolojiaPumbafff
Tafuta pesa is e ngulubange
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaani matatizo yenu mnataka mtu binafsi atoe pesa zake kuwasaidia. Ubadhilifu wote unaotokea ndani ya bara hili, itakuwa ni kichaa peke yake atakayetoa pesa yake binafsi kulisaidia.E bana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.
Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.
Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Kwani Elon Musk halipi kodi huko USA?Nalipa kodi wewee
Punguza uchawiMbaguzi tu na roho mbaya. Na badoo
Mtuacheni tushereheke bana. Bora wote tuwe sawa tu.Wabongo bwanaa!....
Wewe mwenyewe hata baiskeli tu! huna!.... Unafurahishwa kuporomoka kwa musk!? Kuwazia watu mabaya tu!
Hivi kwa akili yako.... Hata Elon musk akifulia anaweza kulingana hata theruthi moja na MO wenu bilionea!!?
Hivi kwa akili yako...unafikiri Tembo hata akikonda...anaweza kulingana na Mbwa!?
we ungewezaEbana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.
Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.
Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Karne ya 21 Bado Kuna watu mnafikiri katika bara Zima la Africa kusaidiwa na mtu mmoja kisa kafanikiwa ?Ebana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.
Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.
Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.
Wewe umemtumia bibi yako au mama yako Tsh ngapi mpaka sasa?Ebana wanajamvi inakuwaje!
Ni chereko, nderemo, shangwe, vifijo na furaha baada bilionea wa Tesla utajiri wake kushuka hadi 198 billion usd na kuwa watatu nyuma ya Bernard Arnault mfaransa na billionaire wa Amazon Jeff Bezos.
Ikumbukwe huyu Elon Musk ni mbaguzi na kujifanya Mungu mtu.
Fikiria taifa na bara lililomleta duniani South Africa na Africa hana time nalo kabisa. Angalau angetoa billion 50 usd kama asante kumsaidia na kuendeleza miradi mbali mbali ya maendeleo.
Tunamuombea utajiri wake uendele kushuka hadi alingane na kina chief godlove.