mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Wapendwa..
Leo tumepoteza ujauzito wa mke wangu wa takribani mwez mmoja na nusu.
Alianza kulalamika maumiv ya tumbo kisha bleed ilianza.Tuliwah hospital akapatiwa Dawa tu kisha kuruhusiwa kurud nyumbani na baada ya hapo maumivu yalizid na baada ya muda kiumbe kilitoka..
Ni uchungu mkubwa sana kwetu hasa ukizingatia tulivyomtafuta kwa muda mrefu...lakini mapenz yake Mungu yatimizwe.
Ushauri maoni yanapokelewa.
Tunatarajia kwenda hosptal jumatano kwa ajili ya usafishwaji wa kizazi.
Leo tumepoteza ujauzito wa mke wangu wa takribani mwez mmoja na nusu.
Alianza kulalamika maumiv ya tumbo kisha bleed ilianza.Tuliwah hospital akapatiwa Dawa tu kisha kuruhusiwa kurud nyumbani na baada ya hapo maumivu yalizid na baada ya muda kiumbe kilitoka..
Ni uchungu mkubwa sana kwetu hasa ukizingatia tulivyomtafuta kwa muda mrefu...lakini mapenz yake Mungu yatimizwe.
Ushauri maoni yanapokelewa.
Tunatarajia kwenda hosptal jumatano kwa ajili ya usafishwaji wa kizazi.