Tumerudi kuibomoa nchi kuilinda CCM, mama kibao kikigeuka kisima kitakauka maji

Tumerudi kuibomoa nchi kuilinda CCM, mama kibao kikigeuka kisima kitakauka maji

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Chama Cha mapinduzi pambaneni kwa hoja achaneni na dola. Mnatia aibu mambo madogomadogo yanayowekwa kimkakati na wapinzani wenu yawachafue kimataifa mnashindwaje kuyang'amua.

Vimitego vidogo vidogo mnavyoshindwa kuving'amua ndivyo binawapa mailage ya kisiasa chadema na wafuasi. Mmekubali kuwa chanzo na misingi ya kupush agenda za Chadema kimataifa.

Wakati mnayafanya haya kumbukeni madhara yanakwenda kwenye uchumi na ustawi wa Taifa letu. Mkikwama kiuchumi njaa ikazidi itakuwa rahisi sana wananchi kushawishiwa waingie barabarani. Itakuwa rahisi sana ualifu kuongezeka na amani kupungua. Hakuna hafla ya CCM inayoombewa kibali, kwanini hao wanawake waliomba kibali nakukirusha mitandaoni Kama awakuwa na akili kubwa kuwazidi? Mkaingia mkenge mkawawaingiza Polisi leo imekuwa agenda Dunian. Kulikuwa na haja gani kuzuia hafla? Wamefanya mkutano no madhara, wameenda kula mmewatumia polisi na mnaamini Kuna integence inawashauri vyema? Lina hafla za ccm zimewahi pelekewa Polisi?

Mnapopambana iangalieni nchi,anglieni mdororo wa uchumi Duniani angalien madhara kwa jamii. Taifa linateketea kwa mrundikano wa watu wenye less than 60% capability to lead
 
Chama Cha mapinduzi pambaneni kwa hoja achaneni na dola. Mnatia aibu mambo madogomadogo yanayowekwa kimkakati na wapinzani wenu yawachafue kimataifa mnashindwaje kuyang'amua.

Vimitego vidogo vidogo mnavyoshindwa kuving'amua ndivyo binawapa mailage ya kisiasa chadema na wafuasi. Mmekubali kuwa chanzo na misingi ya kupush agenda za Chadema kimataifa.

Wakati mnayafanya haya kumbukeni madhara yanakwenda kwenye uchumi na ustawi wa Taifa letu. Mkikwama kiuchumi njaa ikazidi itakuwa rahisi sana wananchi kushawishiwa waingie barabarani. Itakuwa rahisi sana ualifu kuongezeka na amani kupungua. Hakuna hafla ya CCM inayoombewa kibali, kwanini hao wanawake waliomba kibali nakukirusha mitandaoni Kama awakuwa na akili kubwa kuwazidi? Mkaingia mkenge mkawawaingiza Polisi leo imekuwa agenda Dunian. Kulikuwa na haja gani kuzuia hafla? Wamefanya mkutano no madhara, wameenda kula mmewatumia polisi na mnaamini Kuna integence inawashauri vyema? Lina hafla za ccm zimewahi pelekewa Polisi?

Mnapopambana iangalieni nchi,anglieni mdororo wa uchumi Duniani angalien madhara kwa jamii. Taifa linateketea kwa mrundikano wa watu wenye less than 60% capability to lead
Kosa kubwa alilofanya Samia ni kuendelea kumkumbatia Majaliwa kama Waziri Mkuu. SIRO chini ya maelekezo ya Waziri mkuu huwa anafanya mambo ya ovyo kuliko kawaida.
Yaani wanawake kula mpaka wasimamiwe na Polisi? Huyu akiinua firigisi anaambiwa "Wanawake huwa hawali firigisi mpe Polisi wa kiume?". Mambo ya ovyo mpaka unajiuliza viongozi wetu wanatumia nini kufikiri.
 
Wawaruhusu na wenzao kutawala (upinzani)
 
Umewaza Sana [emoji119] hawajui hiyo style ya kutumia police kila kitu inatoa millage kwa hoja za ukandamizaji wa serikali
 
Back
Top Bottom