Tumerudi kule kule,wewe nani(wanachama),baba ako nani(wenyechama)unamjua nani!(wanafursa aka chawa)

Tumerudi kule kule,wewe nani(wanachama),baba ako nani(wenyechama)unamjua nani!(wanafursa aka chawa)

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Wengi hawajawahi kufanya kazi popote ni mwendo wa SURNAMES CONNECTIONS kisha wanasoma tu majina yao kwenye mikeka

Wanaotembea kwenye chaki ni kundi la wanaFURSA kutoka UVICHICHIEM,

Kumbuka
Kuna makundi matatu ndani ya CHICHIEM
1. WenyeCHICHIEM
2. WanaCHICHIEM
3. wanaFURSA

Namba 1 wapo kwa ajili kulinda umiliki wao ndani CHICHIEM kwa ajili yao na familia zao
Namba 3 wapo kwa ajili ya namba 1
Namba 2 wapo kwa ajili ya CHICHIEM yao

Ili kuokoa CHICHIEM YETU na taifa hili nafasi zote za uteuzi ambazo zinahusisha vijana zipelekwe Public Sector Recruitment Service (tume ya ajira Utumishi) zitangazwe huko kisha watu waombe kuwa DC DED DAS RAS RC MD nk nk kwa sifa vigezo tajwa

Kisha Vetted shortlist ndio IENDE kwenye MAMLAKA za uteuzi
 
Jamani, tutumie fursa mfumo sahivi unavutika kama ugari wa muhogo 😂😂😂
 
Sabaya na Makonda ndio walikuwa wanaweza kufanya chochote kwa mtu yoyote ila Mungu fundi, katuliza bahari amani imerejea

Akina Kingai waliweza kumbambikizia mtu yoyote kesi, dah hii nchi tulikuwa tunaelekea shimoni, Mungu anatupenda sana
 
Wengi hawajawahi kufanya kazi popote ni mwendo wa SURNAMES CONNECTIONS kisha wanasoma tu majina yao kwenye mikeka
Wanaotembea kwenye chaki ni kundi la wanaFURSA kutoka UVICHICHIEM,

Kumbuka
Kuna makundi matatu ndani ya CHICHIEM
1. WenyeCHICHIEM
2. WanaCHICHIEM
3. wanaFURSA

Namba 1 wapo kwa ajili kulinda umiliki wao ndani CHICHIEM kwa ajili yao na familia zao
Namba 3 wapo kwa ajili ya namba 1
Namba 2 wapo kwa ajili ya CHICHIEM yao
Ili kuokoa CHICHIEM YETU na taifa hili nafasi zote za uteuzi ambazo zinahusisha vijana zipelekwe Public Sector Recruitment Service (tume ya ajira Utumishi) zitangazwe huko kisha watu waombe kuwa DC DED DAS RAS RC MD nk nk kwa sifa vigezo tajwa
Kisha Vetted shortlist ndio IENDE kwenye MAMLAKA za uteuzi
Kwani kabla ulikuwa umeenda wapi?
 
Back
Top Bottom