toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Sikujua kama ukipika mseto wa dagaa na mboga za majani hususan tembele na uweke na karoti ni tamu balaa.
Au nyama na mnafu na karoti utaipenda.
Woiii nyanya nishaanza kusahau kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nyama na mnafu na karoti utaipenda.
Woiii nyanya nishaanza kusahau kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app