A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Feb 5, 2020 #21 Yani nyanya na vitunguu mtaani ndiyo vimeadimika kabisa maana wachuuzi wanaona wakinunua kuja kuuza mtaani bei watu hawaiweza mwisho atapata hasara Sent using Jamii Forums mobile app
Yani nyanya na vitunguu mtaani ndiyo vimeadimika kabisa maana wachuuzi wanaona wakinunua kuja kuuza mtaani bei watu hawaiweza mwisho atapata hasara Sent using Jamii Forums mobile app
Rhz4567 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2018 Posts 4,893 Reaction score 6,599 Feb 6, 2020 #22 Nasikia nyanya ghali Sana kila sehemu
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Feb 8, 2020 #23 Nyanya zimekuwa issue..... Sent using Jamii Forums mobile app