Tumesahau kupika kwa nyanya kwa muda, ni mwendo wa mboga za majani

Yani nyanya na vitunguu mtaani ndiyo vimeadimika kabisa maana wachuuzi wanaona wakinunua kuja kuuza mtaani bei watu hawaiweza mwisho atapata hasara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia nyanya ghali Sana kila sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…