Tumesimama kama lisaa hivi kusubiri msafara wa Mwenge upite

Tumesimama kama lisaa hivi kusubiri msafara wa Mwenge upite

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Nchi yetu inakwamishwa na mambo ya kipuuzi sana.

Hii iinatokea hapa morogoro mida hii. Imagine kwa lisaa tumeganda barabarani eti mwenge sijui unazindua kitu gani huko.

Watu wanachelewa kanisani, na kwenye shughuri zingine eti mwenge ambao wako ndani ndani wanazindua na kufanya uzinduzi miradi midogomidogo huko ndani ya kata.

Swali la kujiuliza, kwanini usimamishe shughuli muhimu zingine kwenye barabara kuu wakati mwenge uko ndani ndani huko? Hasara zinazo sababishwa na mwenge ni nyingi.

Mwenge ni liability na ukiulizwa faida zake utaelezwa blabla tu.
 
Inchi yetu inakwamishwa na mambo ya kipuuzi sana. Hii iinatokea hapa morogoro mida hii. magine lisaa tumeganda barabarani eti mwenge sijui unazindua kitu gani huko. Watu wanachelewa kanisani, na kwenye shughuri zingine eti mwenge ambao wako ndani ndani wanazindua na kufanya uzinduzi miradi midogomidogo huko ndani ya kata. Swali la kujiuliza kwanini usimamishe shughuli mhimu zingine kwenye barabara kuu wakati mwenge uko ndani ndani huko. .hasara zinazo sababishwa na mwenge ni nyingi.
Mwenge ni liability na ukiulizwa faida zake utaelezwa blabla tu.
kagoshima Ohayo gozaimasu. Bado kuna hasara ya kusambaza "umeme" kwenye mkesha wa mwenge
 
Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.


Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.

Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".

Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!



Mambo ya Aibu haya !! ...

Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.


Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.


Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJA.
 
Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.


Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.

Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".

Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!



Mambo ya Aibu haya !! ...

Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.


Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.


Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJA.

Mwaka jana au mwaka huu mwanzoni nilikuwa nasafiri kutokea Mombasa to Arusha kufika Moshi maeneo ya Majengo tukasimamishwa saa moja na dakika 45 kisa Kupisha msafara wa Waziri Mkuu !.

Wakati tunashangaa huu ushenzi wa karne ya 14 tukajulishwa Waziri Mkuu ndio kwanza anasalimia Wakaazi wa Mwanga.Fikiria umbali wa kutoka Mwanga hadi Moshi Majengo !.

Hii nchi inahitaji ukombozi wa pili.Viongozi wetu wamekuwa watu wa hovyo,wanatenda mambo ya kijinga ambayo hata wakoloni hawakutufanyia.

Baada ya kusubiri 1:45 msafara wa magari zaidi ya 50 tena mengi ni VDJ 200 (1VD).Huyu ni Waziri Mkuu bado tuna Makamu wa Rais,Rais na Viongozi wengine ambao wanastahili hizi mbwembwe za kushenzi.

Wakati Mwingine hizi VDJ hazitoshi wanarusha hadi helcopter angani mradi tu wapate sababu ya kuturundikia TOZO luluki.

Mkoloni hakutenda huu upuuzi Viongozi wajinga tena waliopitishwa kwa hila wamekuwa Vinara wa kuchezea kodi za umma kupitia maamuzi mbali mbali.
 
Nchi yetu inakwamishwa na mambo ya kipuuzi sana.

Hii iinatokea hapa morogoro mida hii. Imagine kwa lisaa tumeganda barabarani eti mwenge sijui unazindua kitu gani huko.

Watu wanachelewa kanisani, na kwenye shughuri zingine eti mwenge ambao wako ndani ndani wanazindua na kufanya uzinduzi miradi midogomidogo huko ndani ya kata.

Swali la kujiuliza, kwanini usimamishe shughuli muhimu zingine kwenye barabara kuu wakati mwenge uko ndani ndani huko? Hasara zinazo sababishwa na mwenge ni nyingi.

Mwenge ni liability na ukiulizwa faida zake utaelezwa blabla tu.
Mkuu kagoshima, mbona hii ni kawaida sana kwenye mbio za Mwenge
karibu mitaa hii kuhusu Mwenge wa uhuru Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?. na Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!. na Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru ila pia kwenye mkesha wa Mwenge, mahali unapolala kuna shamrashamra zake na ile starehe yetu ile... bwerere!. Mapokezi Ya Mwenge Dodoma: Wilaya ya Bahi Yafanya Kufuru!.
P
 
Usi shangae ni Wana zindua kisima na zebra za barabarani
 
Hili mkalisimamie vizuri na hilo jengine mkalitizame kwa ukaribu
 
Nchi yetu inakwamishwa na mambo ya kipuuzi sana.

Hii iinatokea hapa morogoro mida hii. Imagine kwa lisaa tumeganda barabarani eti mwenge sijui unazindua kitu gani huko.

Watu wanachelewa kanisani, na kwenye shughuri zingine eti mwenge ambao wako ndani ndani wanazindua na kufanya uzinduzi miradi midogomidogo huko ndani ya kata.

Swali la kujiuliza, kwanini usimamishe shughuli muhimu zingine kwenye barabara kuu wakati mwenge uko ndani ndani huko? Hasara zinazo sababishwa na mwenge ni nyingi.

Mwenge ni liability na ukiulizwa faida zake utaelezwa blabla tu.
Kwani haiwezekani kupishana nao barabarani. Trump ni kichaa lakini alikuwa sahihi shithole countries!
 
Bila shaka sasa mtakuwa watulivu na wazalendo baada ya kufukizwa na moshi wa tambiko la taifa 😁
 
Mwenge wa Uhuru unaita mambo ya kipuuzi? Upe heshima Mwenge, hata msafara wa Rais ukikutana na msafara wa Mwenge Rais atasimama Uhuru Torch upite.
Uwe na adabu unapozungumzia kuhusu Mwenge wa Uhuru
 
Ubatizo wa moto, lazima kila mtanzania asimame na kukiri hii alama muhimu ya kisiasa.


Kutoka maktaba online:

Mwaka 1958, muasisi wa Taifa la Tanganyika, Mwalimu Julius Nyerere alitamka, kwa niaba yetu, kwamba tungependa kuwasha mwenge na kuuweka juu ta Mlima Kilimanjaro, umulike nje ya mipaka yetu na ulete tumaini kila kusiko kuwa na tumaini, upendo kulikojaa chuki, na heshima kulikojaa dharau.
Haya ni maneno yaliyofanana sana na yale ya Mtakatifu Francisco wa Asissi, ambaye aliyafunga maisha yake katika utumishi na huduma kwa masikini ingawaje alitokana na familia tajiri ya mjini Assisi na katika ujana wake alishiriki katika biashara na kukuza ukwasi wa baba yake.
Baada ya “kuona mwanga,” Francisco aliukana ukwasi wa familia yake na akajikita katika utumishi wa watu na viumbe hai wengine. Ni kwa heshima yake ulianzishwa utawala wa Wafransiska (Franciscans) ambao itikadi yao inakumbatia umasikini na unyenyekevu katika utumishi wa Mungu na watu wake
 
Ungezaliwa enzi zetu sisi ungekamatwa kwa uhaini.

Miaka ile sisi tunasoma mwenge ukija maeneo yetu shughuli zote za kijamii zinasimama.

Kuna watu walihama mikoa na kwenda kuanzisha makazi mapya kwa shughuli hizo hizo za mwenge.
 
Ubatizo wa moto, lazima kila mtanzania asimame na kukiri hii alama muhimu ya kisiasa.


Kutoka maktaba online:

Mwaka 1958, muasisi wa Taifa la Tanganyika, Mwalimu Julius Nyerere alitamka, kwa niaba yetu, kwamba tungependa kuwasha mwenge na kuuweka juu ta Mlima Kilimanjaro, umulike nje ya mipaka yetu na ulete tumaini kila kusiko kuwa na tumaini, upendo kulikojaa chuki, na heshima kulikojaa dharau.
Haya ni maneno yaliyofanana sana na yale ya Mtakatifu Francisco wa Asissi, ambaye aliyafunga maisha yake katika utumishi na huduma kwa masikini ingawaje alitokana na familia tajiri ya mjini Assisi na katika ujana wake alishiriki katika biashara na kukuza ukwasi wa baba yake.
Baada ya “kuona mwanga,” Francisco aliukana ukwasi wa familia yake na akajikita katika utumishi wa watu na viumbe hai wengine. Ni kwa heshima yake ulianzishwa utawala wa Wafransiska (Franciscans) ambao itikadi yao inakumbatia umasikini na unyenyekevu katika utumishi wa Mungu na watu wake
Nitajie faida mbili measurable za mwenge mkuu. Achana na hizo blabla
 
Back
Top Bottom