Tumesimama kama lisaa hivi kusubiri msafara wa Mwenge upite

Tumesimama kama lisaa hivi kusubiri msafara wa Mwenge upite

Mwenge wa Uhuru unaita mambo ya kipuuzi? Upe heshima Mwenge, hata msafara wa Rais ukikutana na msafara wa Mwenge Rais atasimama Uhuru Torch upite.
Uwe na adabu unapozungumzia kuhusu Mwenge wa Uhuru
taja japo faida mbili measurable za mwenge boss. Achana na hizo blabla za kishirikina
 
Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.


Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.

Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".

Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!



Mambo ya Aibu haya !! ...

Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.


Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.


Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJA.
Duh!Mkuu wakikudaka!!
 
Ni binafsi naona kuna shida shehemu kwenye Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Mwezi huu wa nane tumesumbuliwa na kunyanyaswa sana Mbeya. Rais yupo Tukuyu sisi huku mjini tunafungiwa barabara na tunasimamishwa pembeni. Hili waliangalie wanatupotezea muda mwingi sana.
Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.


Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.

Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".

Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!



Mambo ya Aibu haya !! ...

Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.


Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.


Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJ
 
Kheri yenu nyie ni leo tu, Dar kila siku misafara inaleta foleni...
 
Genki desu Tanzaniano Tozo seikatsu muzukashi. Kagoshima dou desuka. Du! Kumbe bado naweza kuomba maji ya kunywa.
 
Back
Top Bottom