taja japo faida mbili measurable za mwenge boss. Achana na hizo blabla za kishirikinaMwenge wa Uhuru unaita mambo ya kipuuzi? Upe heshima Mwenge, hata msafara wa Rais ukikutana na msafara wa Mwenge Rais atasimama Uhuru Torch upite.
Uwe na adabu unapozungumzia kuhusu Mwenge wa Uhuru
Duh!Mkuu wakikudaka!!Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.
Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.
Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".
Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!
Mambo ya Aibu haya !! ...
Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.
Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.
Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJA.
Hili jambo Mwaka juzi niliwahi lisema Mahali.
Bob tulikaa lisaaa na madakikaa kisa Makamo wa Rais anategemea kupita.
Mambo ya KISHENZI kabisa haya, Ukoloni mkubwa na mambo ya hovyo yanayoendelea kuwatukuza viongozi kama watu Fulani hivi "Maalumu".
Saa Zima , umepotezewa muda, mambo yako binafsi , kisa Msafara wa mwenye au Kiongozi anaenda kuzindua Vyooo vya Shule !!!
Mambo ya Aibu haya !! ...
Na yalivyo na speed Kali , Kila uchwao lazima yasababishe Ajali !!.
Ni Ujinga, Upuuzi ambao hauwez kukukuta Mahali popote hapa Duniani.
Na Hii Mentality inapaswa IKOME MARA MOJ