Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote watakuwa wametangulia mbele za haki
Picha nzuri kwa kumbukumbu mbaya ya maendeleo ya miji yetu.
Mitaa ilipangika vizuri kabisa kuliko ilivyo kwenye miji mingi ya sasa
DuuMkoloni angeendelea kututawala tungekua mbali sana, sijui Nyerere alifeli wapi kuwaachia wakoloni ikulu
Sio 99% ni 120%, hakuna kinachoonekana kwenye picha kilichopo sasa hivi, kuanzia miti hadi nyumba na watu. JK.Nyerere kazaliwa 1922 mwaka huu angefikisha miaka 103 na hayupo Duniani, hao wahuni waliobarehe kwenye picha utawatoa wapi leo!???..., maisha ni mafupi sana, watu hawajui tu...Nimefikiria mbali karibu ya 99% ya watu wanaonekana hapo kwenye picha hawapo tena duniani
Kweli dunia ni mapito
BIla hata ya kutumia deep intelligence analysis, mbona huo ni uongo kabisa. Mwaka 1920 watu wapo katika mavazi hayo? Are you serious? 1920 watu wamevaa viatu, ndala na wengine wamechomekea😀😀? Halafu suruali zina luxi na wanaonekana kuvalia mikanda😁😁
exactly, very sad....Nimefikiria mbali karibu ya 99% ya watu wanaonekana hapo kwenye picha hawapo tena duniani
Kweli dunia ni mapito
a very good question...kama mjini centre palikuwa hivi, huko kulikuwaje...Tandale yangu na mwanNyamala ilkuwaje ?