Tumetoka mbali; Angalia Kariakoo Dar es Salaam mtaa wa Kongo 1920

Tumetoka mbali; Angalia Kariakoo Dar es Salaam mtaa wa Kongo 1920

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1735831706025.jpeg
 
Nimefikiria mbali karibu ya 99% ya watu wanaonekana hapo kwenye picha hawapo tena duniani
Kweli dunia ni mapito
Sio 99% ni 120%, hakuna kinachoonekana kwenye picha kilichopo sasa hivi, kuanzia miti hadi nyumba na watu. JK.Nyerere kazaliwa 1922 mwaka huu angefikisha miaka 103 na hayupo Duniani, hao wahuni waliobarehe kwenye picha utawatoa wapi leo!???..., maisha ni mafupi sana, watu hawajui tu...
 
Nyerere alikuwa hajazaliwa na amekufa tayari ameisha kuwa mzee. 2025-1920
 
BIla hata ya kutumia deep intelligence analysis, mbona huo ni uongo kabisa. Mwaka 1920 watu wapo katika mavazi hayo? Are you serious? 1920 watu wamevaa viatu, ndala na wengine wamechomekea😀😀? Halafu suruali zina luxi na wanaonekana kuvalia mikanda😁😁

Wengine wamevaa hadi hadi saa mkononi. Kwanini watu mnapenda kupelekana na kuingaza huko machakani? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom