Tumetoka mbali; Angalia Kariakoo Dar es Salaam mtaa wa Kongo 1920

Mzee wa kuokota okota Twitter.

Sina uhakika ila ukiniambia magomeni naweza kukubali, ama kama ni Congo basi ile inayoenda jangwani na sio part hii ya uhuru hadi Tandamti, aya Majengo ya NHC yanayovumjwa Kkoo sasa hivi mengi yalikuwepo Since 1920 na kuna Picha Mohamed Said aliweka humu za Kariakoo zamani

Soko la Kariakoo Kuanzia Upya Wake 1900s

Ukiingia humo unaona Soko la zamani kabla ya kujengwa 74 lilivyokua.

Hizi pia picha nyengine za Kkoo 1919-1960


Ukiangalia hizi picha kwa mbali unaona maghorofa near Kkoo na sio vibanda vya makuti.
 
Inabidi tuongeze bidii.

Kariakoo iwe kama Guangzhou, China.
 
Inabidi tuongeze bidii.

Kariakoo iwe kama Guangzhou, China.

hapa tutafika kweli?

 
Dah, hawa jamaa wana hatari. Yani wao wapo dunia nyingine kabisa.

Tutafika Mkuu, maamuzi yapo juu yetu wananchi.
 
Kuna siku nilikuwa naangalia picha za marehemu mzee wangu akiwa na nguvu zake enzi za ujana wake, halafu nikalinganisha na picha alipigwa on his last days on his deathbed, naweza kusema maisha yana siri nzito sana
Nimefikiria mbali karibu ya 99% ya watu wanaonekana hapo kwenye picha hawapo tena duniani
Kweli dunia ni mapito
 
Mbona kwa sasa tuna mkoloni mweusi anayeitwa CCM!! Au unataka CHAWA waje mbio kukushambulia?
Ccm ni mkoloni uchwara, same na South Africa mkoloni angeacha ubaguzi akaendelea kuitawala huenda ingekua kama Misri au zaidi
 
Nimefikiria mbali karibu ya 99% ya watu wanaonekana hapo kwenye picha hawapo tena duniani
Kweli dunia ni mapito
Hapo aliyekuwa na 10yrs kama bado yuko hai basi this 2025 atakuwa na 115yrs, literally they're all dead by now.
Imagine 105 from now member gani wa JF atakuwa yuko hai? Labda mapinduzi ya kisayansi yalete maajabu ambayo kwa sasa ni unthinkable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…