Tumeumia, lakini chonde chonde tusiandamane...

Kama unatoka kwenda kwenye maandamano ya amani unajidanganya. Ukweli ni unaenda vitani, umejiandaa? Wenzako wamejiandaa na silaa zote za kivita.
 
Una familia ako inakutegemea ,acha ujinga
 

Kuandamana ni haki ya raia. Hii ni haki yetu wala hatudanganyiki. Twendeni, wakitaka watukamate wote. Twendeni, wakitaka wakatuuwe wote waone kama wao watabakia salama.

Nyomi+ ina suluhu ya ubazazi huu.

Tusipangiane wala kulazimishana. Tusizuiane wala kushurutishana kwenye haki zetu.

Vitisho vyao vime boomer!

Tunaotaka kuandamana hiyo ni haki yetu. Maandamano yatabaki kuwa ya amani na hatutakubali kuzuiwa.

Nitakuwapo Tahrir square inshallah.

Cc: Athumani Mambosasa.
 
Hhahahahaha Maafisa vipenyo wako makini sana kuyavuruga maandamano
 
Hhahahahaha maafisa vipenyo wako makini sana kuyavuruga maan doggedamano

Eti wanajifanya nao wamechukizwa mno na wizi wa uchaguzi. Hahaaa haa.

"They should tell that to the birds!"

Hatudanganyiki!
 
Yaani uandamane kwaajili ya watu wachache waliokatizwa mrija wa ruzuku??

Kwa taarifa yenu zipo ripoti zinazodai mwenyekiti wa chama kimoja cha upinzani anayetakatisha fedha za ruzuku kwa matumizi yake binafsi.
 

 
nawaza ..........
hapa yani fundi ujenzi ameacha kazi zake site yuko barabarani na kono bao lake na kobiro anataka uchaguzi urudiwe uchaguzi urudiwe...

Wauza maduka wamefunga maduka wako barabarani wameandamana uchaguzi urudiwe.....

mama. ntilie wameacha kupika na kuuza chakula walishe na familia zao wapo barabarani kuandamana uchaguzi urudiwe uchaguzi urudiwe....

wanavyuo hawaendi kuhudhuria lecture class wapo kwenye maandamano
Ati uchaguzi urudiwe uchaguzi urudiwe haki haki....

me niache kufanya kazi zangu kujishughulisha kupambana kwa ajili ya familia yangu kisa mboeee,,lishuu, mude sijui,,Act , chedema kisa hawajashinda uchaguzi haaa haaa weee hiyo haipo wakapambane wenyewe huko. kwani ikija lizuku tunagawanaga sote

Mwanasiasa sikiliza mimi siyo mtaji wako. pambana na hustle zako never kutuhusisha na mambo zenu huko mnapokulaga zile M12, M200 mnakumbukaga kurudishaga fadhila kwa wananchi walio waweka madarakani .?

nikadhurike wakati wewe unapambana kutimiza ndoto zako za saa 72 kuwa waziri mkuu wakati unajua na mimi na ndoto zangu za saa 24 kuwa baba Bora kwa familia yangu.

kesho Jumatatu ni siku ya kazi wananchi tutaenda kufanya kazi na nyie muingie barabarani kufanya kazi kwa ajili ya kulisaka tonge mlilopoteza .





Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo namba 3 mkuu si umeona washenzi wengi tu humu Jf wanajinadi kwamba watabeba vidumu vya petrol na viberiti, hapo unategemea wenye dhamana ya kulinda nchi na wananchi wake watawaacha hao majuha
 
Watanzania wanaoishi Ughaibuni wameshaanza maandamano yasiyo na ukomo
 
Maandamano yasiyo na ukomo uwezo huo watanzania hawana, kwanza watakula wapi, nani atawaletea chakula? Vinginevyo itawezekana kama kuna mtu anagharamia maandamano hayo
 
Hiyo namba 3 mkuu si umeona washenzi wengi tu humu Jf wanajinadi kwamba watabeba vidumu vya petrol na viberiti, hapo unategemea wenye dhamana ya kulinda nchi na wananchi wake watawaacha hao majuha
Wana matatizo sana
 
 
Maandamano yasiyo na ukomo uwezo huo watanzania hawana, kwanza watakula wapi, nani atawaletea chakula? Vinginevyo itawezekana kama kuna mtu anagharamia maandamano hayo
 
Hahaha kwani maandamano yanaanzia wapi na kuishia wapi, na nini theme ya maandamano?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…