trigger468
New Member
- Apr 28, 2018
- 2
- 1
Ni kwel kabisaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3]ukiendelea kuwavuta kwa kutumia ushawishi wako Ndo unavyokarbisha zaidi kukunjana mashati na kupotea kwa uhusiano zaidi!! unacho kiwaza wewe sicho wanachowaza wenzio!! Ndo maana wanakua wazito kutoa support
Ushauri :Fanya kile Nafsi yako inakusukuma kufanya Jambo Hilo ukiwa Kama wewe
kufanikiwa kwa jambo Hilo ndo yatakua Majibu kwao!!
Kwani kikundi chenu kinajishughulisha na nini na wote mko mkoa mmoja?Ni muda mrefu sasa tukiwa wanne ndani ya hit kazi....mtu mmoja tu ndiye anayeshughulika na mambo yote. Wengine wanakaa wakisubiri mambo yakae vizuri bila kuchangia kivyovyote na kusema bado ni wanachama wa kikundi hichi. Mimi naona kama hawapo serious na hawana malengo na hasira kama niliyonayo mimi. Nimeamua kuachana nao japo walikuwa ni rafiki zangu sana kabla ya kufanya kazi hii.
Naomba mawazo menu jamani...
Kweli kabisa akili zetu tunazijua wenyewe wa tzVikundi wanaweza Sana Kenya. Kule wana SACCOS kwa kiwango cha juuu kabisa na zina mitaji kuliko hata baadhi ya Benki zetu huku.
Watanzania wewe waambie kikundi cha kukutana kupiga story za Mipira ya Ulaya hapo utawaona kwa wingi.
Kwenye Vikundi vya Uzalishaji huwezi waona.
Na hii inasababishwa sana na watu wengi kuwa na Plan B.
Mtu anajua mwisho wa mwezi account itasoma so ya nini nihangaike?
Ila amini wasingekuwa na hizo Backup wange toa sapoti
Utagombana na watu mkuu! [emoji13]Kweli kabisa akili zetu tunazijua wenyewe wa tz
Tunachosahau kuna baadhi ya vitu huwezi Fanya ukiwa peke yako
Tuendelee kuwaelimisha wanajamii kwamba mafanikio y'a mtu yanaanzia kwenye kujali muda, hapa kijijini ninapoishi watu wanaamka saa Moja asubuhi wanaenda Kwenye vijiwe vya kahawa wanapiga story Za uongo na kweli had saa Tatu wanatoka na kwenda shambani saa tano wanarudi nyumbani. Inasikitisha Sana nimeamua kuanza kuwaambia ukweli kwamba kuepuka umaskini ni ndoto Kwa mtindo huu.Natamani kuiona Tanzania iliyobadilika